Nilivyoandika Twilimba, usidhani sikuona kwamba ni Twilumba!
Kiufupi wewe na yeye nimeshasema ni vihiyo tu!
Halafu angalia ulivyo zwazwa, kwenye hii comment ulisema aliyeleta hoja ya asset na liability ni mleta mada[emoji1427].
View attachment 2597887
Baada ya kuona uzwazwa wako ndio unasema Twilumba ndio alikuja na hoja ya asset na liability ambapo nilishamwambia hiyo hoja haina nafasi hapa maana si mahali pake, akaelewa ndio maana humuoni akiendeleza ligi!
Umesema nimekashifu ufaulu wa Ben, hivi kupata Bam F ni kufaulu?
Kumbuka hakuna sehemu nimezungumzia div 3 yake inayokaribia 4.
Kutumia ID fake unatumia wewe ambaye umeiga kwa ulimbukeni wako, ambapo hata maana ya hiyo Id unayotumia pengine hujui ama utakuwa na tabia za huyo uliyeiga jina lake na kulitumia kama ID yako hapa!
Nimeshakujulisha kuwa situmii ID fake kama wewe!
Hilo ID ninayotumia ni miongoni mwa majina yangu yaliyo kwenye data base za NIDA.