Mussa ruwa
Member
- Feb 11, 2022
- 32
- 8
[emoji419]Hutegemeana na alimaliza mwaka gani na combination gani. Kama PCM,PGM na PCB kuanzia mwaka 2010 kurudi nyuma huyo DIV III alikuwa kipanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji419]Hutegemeana na alimaliza mwaka gani na combination gani. Kama PCM,PGM na PCB kuanzia mwaka 2010 kurudi nyuma huyo DIV III alikuwa kipanga
Acheni dharau,huyu kijana alikua vizuri sana basi tu ni mambo ya dunia yalimchanganya.Kipanga kishule shule ni kupiga mabanda!
We ulipata ngapi hapo tabata?Hakuwa na jambo,kawaida tu
Hiyo alisoma o levelBen pol hajasoma Azania, alisoma shule ya Dar Es Salaam secondary.
We uliyepata A unaendeaje hapo ofcn? Liquidity ratio yako vip, liability haijazid Asset kweli?
Sure mkuu,
Me nimesoma T.I.A pale hamna mambo mengi yan mtu aki disco T.I.A basi ujue huyo ana matatizo ya akili
- jibu Hoja yake, usilete mambo mapya.Hayo yote uliyoandika ni utelembwe tu!
Huu uzi umeletwa kwa ajili ya kulinganisha liability na asset?
Inadhihirisha wazi pia na wewe ni kilaza tena zaidi ya huyu Ben!
Ukitaka tulinganishe hayo unayosema basi anzisha uzi wako, tuje huko tujuzane tunavyoendelea!
Halafu nikujuze tunavyoendelea!
Nasisitiza huyo ni kilaza tu, pamoja na wewe!
Pata one, pata na hela.Hapo hawaendi vipanga!
Huwezi mkuta mwenye div 1 hapo T.I.A
Hpn alisoma dar sec, nna ndg yng alisoma nae hpo dar sec. Kuna kipind alipost pia picha yake ya zmn akiwa hpo dar sec na sio Azania.Hiyo alisoma o level
- jibu Hoja yake, usilete mambo mapya.
Kwa matokeo haya mbna bora angeenda kusoma EGM advance, at least ilikua na future kwake..Acheni dharau,huyu kijana alikua vizuri sana basi tu ni mambo ya dunia yalimchanganya.
Check hata matokeo yake ya o level,he was far good kuwazidi wengi tu humu jf wanaomkandia.
Umeelewa kweli nilichoandika?Hpn alisoma dar sec, nna ndg yng alisoma nae hpo dar sec. Kuna kipind alipost pia picha yake ya zmn akiwa hpo dar sec na sio Azania.
Kwamba ECA haina future kwa mawazo yako?Kwa matokeo haya mbna bora angeenda kusoma EGM advance, at least ilikua na future kwake..
Ndo nimekuelewa mkuuUmeelewa kweli nilichoandika?
Sijakataa kama hajasoma dar sec,ila nimesema alisoma o level.
Umeelewa?
Labda alibadilisha chuoJamaa namkumbuka first year pale IFM 2011/2012 , tumetoka kwenye paper ya QM namkuta pale screen saver (geti la Makumbusho) kajiinamia namuuliza vipi bro, anasema hesabu ngumu sana, sikuwahi muona tena baada ya Ile sem 1 pale chuoni
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Hawakumhurumia msaniiBen paul, M-rap lion wote wali disco IFM
- unapoulizwa swali unatakiwa ulijibu Kwa ufasaha, ndiyo ulete hoja mpya,Sijaona hoja yoyote!
Kama umeiona nenda kaijibu!
Aliyeleta mambo mapya ni nani...?
Kumbe na wewe kilaza tu!
- unapoulizwa swali unatakiwa ulijibu Kwa ufasaha, ndiyo ulete hoja mpya,