Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana!!!Kwamba ECA haina future kwa mawazo yako?
- unapoulizwa swali unatakiwa ulijibu Kwa ufasaha, ndiyo ulete hoja mpya,Sijaona hoja yoyote!
Kama umeiona nenda kaijibu!
Aliyeleta mambo mapya ni nani...?
Kumbe na wewe kilaza tu!
Maswali ambayo yapo nje ya mada hayawezi kujibiwa kwenye mada ambayo si yake!
Nishasema wewe utukuwa ni kilaza mwenzake na huyo unayeng'ania sijui ajibiwe hoja yake wakati nimemjibu inavyopaswa!
Wewe umeona hamna jibu kwa sababu ya ukihiyo na ukilaza wako!
Rudi usome upya, hakuna hoja mpya niliyoleta!
Period.
- unapoulizwa swali unatakiwa ulijibu Kwa ufasaha, ndiyo ulete hoja mpya,
- Bado hujajibu hoja kisomi, mwenzako ame raise hoja ya asset na liability hujaijibu, badala ya kujibu hoja ya asset na liability, umeleta mambo mapya kabisa.
- ungekuwa mahakamani,hapo Lazima ushindwe kesi Kwa sababu hujibu hoja, unaleta mambo mapya.
Unahusu Elimu ya Ben Paul, lakini kulikuwa na hoja ya asset na liability ndani yake ambayo kimsingi ililetwa na mleta mada, baada ya wewe kukashifu ufaulu wa division Three.Huu uzi unahusu assets na liability?
Tuanzie hapo kwanza!
Watu wa siku hizi!dv3 ndio kipanga?wenzenu tulikuwa tunajificha ndani Kwa muda ukipata huyo dv
Siwashangai. Mimi pia yalishanikuta haya.Ben paul, M-rap lion wote wali disco IFM
Actually hii ni kejeli tu kwa mchizi. Yaani Dhihaka.Sasa huyo Bernard alibakiwa na nini mpka anaitwa kipanga
Wote ni vipanga kwa sababu mmefaulu.
Wanamdharai Ben anawazidi uwezoNaona wengi wanabeza tu,
Je uwezo mkubwa wa kukariri ndio kiwango cha akili?
Ili tukuite unaakili lazima tuondoe maarifa yote uliyopata darasani, kile kinachobaki ndio akili..
Je umeshajiuliza utabaki na nini?
Debe tupu.
Wamenishangaza sana😂😂😂
Vijana WA siku hizi wanavituko Sana.
Unahusu Elimu ya Ben Paul, lakini kulikuwa na hoja ya asset na liability ndani yake ambayo kimsingi ililetwa na mleta mada, baada ya wewe kukashifu ufaulu wa division Three.
Hapa uliulizwa kuhusu Asset na liability,Hayo yote uliyoandika ni utelembwe tu!
Huu uzi umeletwa kwa ajili ya kulinganisha liability na asset?
Inadhihirisha wazi pia na wewe ni kilaza tena zaidi ya huyu Ben!
Ukitaka tulinganishe hayo unayosema basi anzisha uzi wako, tuje huko tujuzane tunavyoendelea!
Halafu nikujuze tunavyoendelea!
Nasisitiza huyo ni kilaza tu, pamoja na wewe!
Namaanisha, Twilumba, ndiye aliyezungumzia mambo ya asset na liability, ww hukujibu hiyo hoja ukaanza kuleta dharauAngalia ulivyo kilaza na kihiyo!
Mleta mada amezungumzia hoja ya asset na liability wapi??
Screenshot comment ya mleta mada ama qoute uonyeshe alipozungumzia hiyo hoja unayoishupalia shingo!!
Halafu nikuulize pia ni wapi nimekashifu division three?
Nilichocomment awali ni F yake ya Bam, ambayo kimsingi kupata F bam ni ukilaza tu!!
Namaanisha, Twilumba, ndiye aliyezungumzia mambo ya asset na liability, ww hukujibu hiyo hoja ukaanza kuleta dharau
- inaonekana hoja ya asset na liability imekuumiza kichwa Sana, na Pengine Twilumba hajakosea
- tunajuaje kama wewe sio kilaza? au Kwa Sababu unatumia fakeID na Elimu yako ya Kayumba
Walikuwa wanasomea nini?Ben paul, M-rap lion wote wali disco IFM
Weka div1 waione uondoe ubishiMaswali ambayo yapo nje ya mada hayawezi kujibiwa kwenye mada ambayo si yake!
Nishasema wewe utukuwa ni kilaza mwenzake na huyo unayeng'ania sijui ajibiwe hoja yake wakati nimemjibu inavyopaswa!
Wewe umeona hamna jibu kwa sababu ya ukihiyo na ukilaza wako!
Rudi usome upya, hakuna hoja mpya niliyoleta!
Period.
Tunasubiria mleta mada atuweke div1[emoji23][emoji23][emoji23]
Vijana WA siku hizi wanavituko Sana.