jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chumvi na limao/ndimu je😀😀😀Mkaa unakunya?!
AnavikojoaChumvi na limao/ndimu je😀😀😀
Motivational sneakers
Kwahiyo hiyo mishkaki unachomea jua cyoWamasai wanauza ng'ombe mmoja kwa shilingi 100000.
Mshikaki wa nyama ya ngombe unauzwa shilingi 500.
Ukiuza mishikaki 100000 kwa ng'ombe mmoja unapata faida ya millioni 49.9
Unakatisha tamaa sana mjomba ... kwani hujui huu ni msimu wa mvua bossHio faida ya 650 umeipataje? Umechukua 800 - 150 sindio? Kwa maana ya kwamba huo mhindi ukinunua shambani unakuwa ushachomwa sindio? Wewe unanunua na kuja kuuza tu. Au hukuwaza hilo, hujui kuna kununua mkaa...
😝😝😝practical ndio inakatisha tamaa.Mnakatisha tamaa kishenzi aise😁😁
Hapana sikatishi tamaa mimi naongea uhalisia. Ndo maana nikasema hio biashara inayo faida, ingekuwa haina faida watu wasingeifanya.Unakatisha tamaa sana mjomba ... kwani hujui huu ni msimu wa mvua boss