25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Tatizo la watanzania kudharau kazi heti biashara ya kijinga,wengi wakiona watu matajiri udhani hizo mali wazonazo zilishuka toka mbinguniBiashara za kijinga ndio uwa zinalipa ila hapo ongeza bei za usafirishaji na mkaa
Walio wajinga baadhi yao uwanza kudharau kazi uwezi kufikia 1000 lazima uanze 1 pia ujitume ujinyime uwe na mrengo vinginevio wenzio watakuwa wanafanya kazi unazo ita za kijinga baadae wanabalisha biashara wanaanza kulia kivulini utawaita wachawi