Kumbe biashara ya mahindi mabichi inalipa na wadau mmekaa kimya hamsemi

Biashara za kijinga ndio uwa zinalipa ila hapo ongeza bei za usafirishaji na mkaa
Tatizo la watanzania kudharau kazi heti biashara ya kijinga,wengi wakiona watu matajiri udhani hizo mali wazonazo zilishuka toka mbinguni

Walio wajinga baadhi yao uwanza kudharau kazi uwezi kufikia 1000 lazima uanze 1 pia ujitume ujinyime uwe na mrengo vinginevio wenzio watakuwa wanafanya kazi unazo ita za kijinga baadae wanabalisha biashara wanaanza kulia kivulini utawaita wachawi
 
Biashara kweli ya mahindi inalipa lakini inategemea haya mahindi unayachomea sehemu gani?

Ikumbukwe watanzania walio wengi kutafuta pesa wanaweza tatizo ni kutunza kipato kinacho patikana pia wengi wetu huwa tunafanya kazi kwa bidii bila malengo,kazi zote zinalipa itategemea umelenga nini kwenye utafutaji wako
 
Wamasai wanauza ng'ombe mmoja kwa shilingi 100000.

Mshikaki wa nyama ya ngombe unauzwa shilingi 500.

Ukiuza mishikaki 100000 kwa ng'ombe mmoja unapata faida ya millioni 49.9
Duu utanipusua bandama kwa kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…