Kumbe bilionea Bakhresa na Adani Gautam kuwekeza Tanzania lilikuwa ni hitaji la Hayati Mwl. Nyerere!

Fuatilia mapato ya Bandari kabla na wakati wa DPW
 
Marehemu huwa hasemwi kwa mabaya
 
Unataka kumaanisha Nyerere hakuruhusu Privatization?
 
Hii Sasa ndio mbaya kama kwa hao wanasiasa
 
Hii Sasa ndio mbaya kama kwa hao wanasiasa nao watamiliki miradi
 
Sasa nimemwamini zaidi Kafulila,Hongera sana kufuata nyayo za Baba wa Taifa.
 
Hii umeisoma na kuielewa vizuri?
 
Unafahamu kuwa walioko nje ya uwanja wanafahamu mpira zaidi ya wanaocheza?

Acheni Mzee apumzike kwa amani
 
Enzi za Nyerere ubia ulikuwa wa haki pande zote tofauti na ubia unaoingiwa kipindi hiki Cha awamu ya mama Samia ambapo mwekezaji wa nje hunufaika zaidi kuliko Nchi yetu nzuri ya Tanzania.Anataka wajukuu wetu wasikute chochote
Roho ya uoga na umaskini inakusumbua. Kina Bill Gates na Dangote wasingefika walipo sasa kama wangeuendekeza uoga ambao ni sifa ya maskini dunia nzima.
 



Tuache ujinga wa kumfananisha ndugu yetu mzalendo Salim Bakhresa na Billionaire mtoa rushwa Adani Gautam. Hii sio sawa. Huyu Mzawa ni kati ya walipa kodi wakubwa , pamoja na utajiri hana kashfa yeyote ya rushwa na hatoi rushwa kwa yeyote. Tumebaki kusifia wanasiasa ambao wala rushwa, mikataba ya siri, wezi wa kura na kututeka wapinzani na kuacha wawekezaji wazawa kama Bakhresa na kuwachukulia powa!​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…