Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki na u team Mkuu ndio tatizo , ukiwalewa upati tabuJamaa wanaandika utumbo kama hawana ubongo yani
Pesa ya kununua RR kanunua hotel 🏨 fatilia interview yake wasafi fm kwa majibu zaid, yote yanayo ulizwa huku jukwaani amejibu vizuri tuMillion 200 per month endorsement tu bila show wala mauzo ya muziki kwenye platforms so minimum 400 per month halafu ni mwaka wa 5 kama sikosei tunazungumzia kununua Roll Royce (RR) million 950 na hatujaweza
Alikuja kuishia akienda bar akinywa anasepaMr. Nice alikuja kufanya fujo show ya watu Jolly Club, Upanga enzi hizo. Jamaa wanafanya show live yeye akawaletea mazereu, ikabidi majibizano yaanze, Mr. Nice akatangaza, kama wewe ni demu na umevaa pedo, kula bia. Malaya wote wa Jolly Club wakalipuka Fagilia waa waa. Alizungukwa na machangu kama 30 hivi. Mimi niwaambie ndugu zangu, ile sio discipline ya pesa, lazima ulosti. Kama unataka pesa zako zikusaidie baadae, usizivuruge.
Alipanga nyumba moja kijitonyama kna wakati alihojiwa akadai nyumba ile yake mwishoni wakamtoa paleDuh kutoka kugawa vile makreti ya bia hadi kuweka madeni kila bar
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Wanapenda kuishi kwa fame mzeeWasanii wa vingi kwa kuongeza sifuri wako njema. Hata video ya milioni mbili utasikia milioni mia mbili
Alipanga nyumba moja kijitonyama kna wakati alihojiwa akadai nyumba ile yake mwishoni wakamtoa pale
Ova
Wanapenda kuishi kwa fame mzee
Ova
Maelezo yote yanaweza kuwa sahihi. Usisahau kwamba thamani ya views na yenyewe inategemea na origin ya views. Kwa mujibu wa YouTube Manager, alinukuliwa akisema source kubwa ya YouTube Audience ya Mond ni Kenya, Uganda, Tanzania na US. Kwavile Waah amemshikirisha Koffi Olomide, bila shaka kavuna views wapya kutoka Francophone na hata France na Belgium. Kwa maana nyingine, kama atakuwa alipata views wa kutoka France na Belgium, usishangae kuona Waah ikawa imetengeneza pesa nyingi sana tofauti na maelezo ya Diamond kwa sababu views wa US, Europe na Ethiopia ndo wenye mpunga mkubwa. Na hata hiyo 900K to 1M ni kwa sababu huwa anapata views wa mataifa mbalimbali lakini kwa mtu anayetegemea Views wa TZ peke yake au labda East Africa hata hiyo 900K per 1 M Views itakuwa ngumu sana kupata.Juzi kasema ukipata view one million YouTube bas unapata around 900K up to 1000K , video ya waah ina view 37Mil , IT wao karopoka imeingiza 90 Mil mpak sasa , jamaa wamekaa kiongo ongo sana
Tulia mdau anachokifanya ndicho mashabiki wake ndio wanaotaka...Sijawahi sikia matajiri wa ukweli wakitamba na utajiri wao na kutaja fedha wanazoingiza kwa mwezi n.k.
Sasa hili analifanya Nasibu tuchukulie ni ukumbukeni au kitu gani?
Mchaga fala yuleMr Nice alikuwaga anamwaga sana makreti ya bia plus wapambe kibao , kuzungusha round bar hadi kero sijui ana hali gani sasa hivi
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Mchaga fala yule
Mbona 860,000 Kwanzaa mweziHata Mimi nampango niwe naingiza 1200 kila lisaa
Afu itakuwa haifiki hata hyo hela,maana muda wa kazi itakuwa kama masaa 10 kwa sikuMbona 860,000 Kwanzaa mwezi
Amenunua sasa.Million 200 per month endorsement tu bila show wala mauzo ya muziki kwenye platforms so minimum 400 per month halafu ni mwaka wa 5 kama sikosei tunazungumzia kununua Roll Royce (RR) million 950 na hatujaweza