Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ubaguzi, mtu yeyote anaweza kuwa na yake na si lazima iwe ya kabila lote, ingawa kuna utamaduni wa kundi au kabila fulani amba ni common kwa hilo kabila.Chadema ni chama cha matapeli.
" Msithubutu kuwapa nchi wachaga" JK Nyerere. Aliona mbali Baba wa taifa.
kwamba wewe unaamini kuwa chadema imepokea ruzuku kupitia kikaratas cha ACT waulize hao ACT alipokea lin hio ruzuku chadema, kupitia bank na account ipi waulizen hayo maswali wakijibu unitag.Lengo ni kuijulisha dunia kuwa Chadema ikifika kwenye pesa wapo tayari kuweka misimamo yao yote pembeni. Ni wazuri sana kwenye kulamba asali.
na mme wa mamayenu huko ccm yuko wap, matapel ya ccm mmegeuza watu kuwa bodaboda huku huku watoto wa kitila mkumbo na madelu wakiajiriwa BOTChadema ni chama cha kitapeli.
Hayo ndio maridhiano waliyokubaliana Samia na mbowe, mbowe alitaka hela, Samia kampa hela sasa mbowe kazi yake ni moja tu kumtukana Magufuli.
Lisu karudi Ubelgiji, Lema kaacha familia yake Canada, Lisu familia yake iko Marekani.
Mbowe usishangae familia yake iko Dubai.
Hao ndio wanataka kutuletea maendeleo. Hii nchi iwapo inawategemea watu kama hao basi hakuna matumaini tena.
ccm chama cha matapel yanahadaa vijana wetu kuwa bodaboda ni kaz nzur huku watoto wao wakifanya kazi BOT NA MASHIRIKA YA UMMA. majiz ya kura.Chadema ni chama cha wapiga dili, Ilipo pesa wao wapo!
Chadema ni chama cha matapeli kwa sababu kina wanachama/viongozi wachaga?!!! Nyerere alisema wapi hilo unalomsingizia?Chadema ni chama cha matapeli.
" Msithubutu kuwapa nchi wachaga" JK Nyerere. Aliona mbali Baba wa taifa.
kwamba wale wachaga wanachama wa ccm na wabunge fake kule arusha na kilimanjaro ambao ni wachaga ni wapumbavu kuwa ccm, unamaanisha walitakiwa wawe chadema, ccm ni wapumbavu kama viongoz wenu ndio maana hata reasoning capacity yenu ni ndogo kwa taarifa yenu 2025 msahau kura za wachaga kanda ya kaskazin na huku kanda ya ziwa ccm tutawanyoosha mpaka mtie adabu wapuuz nyinyi.Chadema ni chama cha matapeli.
" Msithubutu kuwapa nchi wachaga" JK Nyerere. Aliona mbali Baba wa taifa.
Hiyo barua ya ACT imekaa kiwivu, kiumbea, kikuda na fitna.Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea. Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.
Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.
Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.
View attachment 2537619
Wewe hujui chochote.Sasa wewe ulitaka muwe mnapokea ruzuku kimya kimya huku mkituzuga kuwa hampokei?
Asante ACT kwa kutusaidia kujua unafiki wa chadema 💪
Chadema, please toeni kauli ya kutambua ubunge wa da Halima na wenzake, siyo mnapokea ruzuku za ubunge wao kimya kimya huku mkidanganya kuwa siyo wanachama wenu.
Wabunge wa viti maalumu walipatikana kwa kuangalia kura za kwenye huo uchaguzi. Huwezi kutambua kura na kupokea ruzuku kimya kimya, ukitambua kura ulizopata basi tambua na wabunge uliopata.Wewe hujui chochote.
Chama hakipewi ruzuku kwa kuwa kina wabunge wa viti maalum bungeni, bali Chama kinapokea ruzuku kutokana na kura za uchaguzi mkuu uliopita.
-CHADEMA kilitangaza kukataa kupokea ruzuku yote iliyotokana na Uchaguzi mkuu uliopita kwa kuwa ilikataa kuyatambua matokeo yote ya ule uchaguzi.
-Msimamo mwingine wowote utakaotolewa na CHADEMA wa kupokea ruzuku, yatakuwa ni matokeo ya maridhiano. (Maridhiano=Tusameheane+Tupatane)
evidence? weka payment voucher, bank statement and its details etc etc. usilete rubbish from the scam Msirukie mambo bila ushahidi.Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea. Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.
Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.
Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.
View attachment 2537619
weka ushahidi.......Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea. Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.
Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.
Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.
View attachment 2537619
Missile of the Nation pitia hapa....ukweli akili zako haziendani na urmi wako, mods wanakuleaga sana inabidi upate ban kwa kudanganya ummaView attachment 2537634
Chadema ni chama cha kitapeli.
Hayo ndio maridhiano waliyokubaliana Samia na mbowe, mbowe alitaka hela, Samia kampa hela sasa mbowe kazi yake ni moja tu kumtukana Magufuli.
Lisu karudi Ubelgiji, Lema kaacha familia yake Canada, Lisu familia yake iko Marekani.
Mbowe usishangae familia yake iko Dubai.
Hao ndio wanataka kutuletea maendeleo. Hii nchi iwapo inawategemea watu kama hao basi hakuna matumaini tena.
It's obvious CCM is a failed political party lakini Chadema ni hovyo.Tuitegemee ccm ambayo imeongoza zaidi ya miaka 60 tangu uhuru huku asilimia kubwa ya wananchi wakiogelea kwenye dimbwi la umasikini, ujinga na maradhi
Hii kitu Zitto imemuuma sana had anaifanyia press.