happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 604
- 1,970
- Thread starter
- #81
Upo sahihi mkuu, sasa ni zama za wapinzani kujazwa mapesa. 🤣🤣🤣Sukuma gang mtazidi kuumia tu kama inawauma sana kuona Chadema na CCM wako in peace kazikwe na JPM. Zile enzi za wapinzani kumiminiwa risasi kisa siasa hazipo Tena ni peace throughout the political class. Poleni sana kwa maumivu