Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
ACT 🤣🤣🤣yaan utafikiri CDM wamewachukulia mke asee!!!Inasikitisha sana kuona Chadema wanakula matapishi kama tulivyozoea.
Walisema chochote kilichotokana na uchaguzi wa 2020 ni haramu ikiwemo ruzuku.
Sasa wanalamba asali ya mama wanapokea ruzuku mil 800 na inatafunwa kimya kimya pale ufipa Mbowe na kikundi chake kilichojimilikisha chama.
Bado kuwa halalisha wale wabunge 19.
Nyerere aliwahi sema watu fulani fulani kamwe wasipewe nchi wana tamaa sana ya pesa wapo tayari kuuza utu wao mbele ya pesa.
View attachment 2537619
Kama ile kauli ya wazir wa mamb ya ndani enzi za awamu ya tano 🤣🤣🤣ilibid apraise mamb za upinde ili wasikose pesa toka kwa mabeberu 🤣🤣🤣!!Lengo ni kuijulisha dunia kuwa Chadema ikifika kwenye pesa wapo tayari kuweka misimamo yao yote pembeni. Ni wazuri sana kwenye kulamba asali.
Uzuri watu washamjua project yakeHapo na kuelewa sana! Huyu Jamaa anavizia CDM wakosee tu yeye ndo aje ili awaangushe! Hata kutangaza kwake kustaafu 2024, ni ili Mbowe naye atangaze kustaafu akiamini yeye na Washirika wake watapata nafuu!
Nakumbuka siku CDM walipotangaza UKUTA, malumbano yalipo pamba moto na polisi, yeye akaibuka na kusema wao kama chama wanasubiri kwenda kuchangia damu kwa majeruhi Muhimbili!
Ktk hili ameona mikutano ya CDM umepamba moto, yeye haangalii hamasa ya Watanzania kutaka mabadiliko kupitia CDM, yeye kuamua kufanya biashara kwa maslahi yake ili CDM ianguke, watu waondoe imani yao kwa CDM ili yeye abaki na washirika wake!
Nadhani huyu anafaa atangazwe adui wa madiliko kwa Watanzania hadi hapo atakapobadilike!
Lissu amethibitisha leo, unasemaje hapo?Chadema hawapokei ruzuku mkuu, na Hilo suala lilijadiliwa kwenye maridhiano.
Wala hawakunyimwa bali walikataa kwa kusema hawautambui uchaguziWe mpuuzi unashangaa kwamba CDM wanapokea ruzuku lakini unashindwa kushangaa kwanini walinyimwa?!
Amethibitisha wapi? Na alisemajeLissu amethibitisha leo, unasemaje hapo?
Kwamba ni vigeugeu; watu wasioaminika, wasioasimamia wanachokiamini. Ukisikia wanasema jambo, lichukulie kuwa hawaamini wakisemacho.Lengo ni kuijulisha dunia kuwa Chadema ikifika kwenye pesa wapo tayari kuweka misimamo yao yote pembeni. Ni wazuri sana kwenye kulamba asali.
Hili sasa limethibitika bila ya shaka.Chadema ni chama cha wapiga dili, Ilipo pesa wao wapo!
LOooh!Chadema ni chama cha kitapeli.
Hayo ndio maridhiano waliyokubaliana Samia na mbowe, mbowe alitaka hela, Samia kampa hela sasa mbowe kazi yake ni moja tu kumtukana Magufuli.
Lisu karudi Ubelgiji, Lema kaacha familia yake Canada, Lisu familia yake iko Marekani.
Mbowe usishangae familia yake iko Dubai.
Hao ndio wanataka kutuletea maendeleo. Hii nchi iwapo inawategemea watu kama hao basi hakuna matumaini tena.
Punguza kujifanya unaijua Chadema. Wewe ni shabiki tu wa mitandaoni hujui lolote umejaa upofu wa mahaba. Wewe ni mtaji wa wanasiasa wapigaji. Haya sasa anza kuimba nyimbo za kusifia utamu wa ruzuku.Chadema hawapokei ruzuku mkuu, na Hilo suala lilijadiliwa kwenye maridhiano.
You're hundred percent right.Walikuwa na ugomvi na JPM sio demokrasia. Wananchi kuweni makini, mkisikia wanasiasa wanalia sana ujue aliye madarakani anafanya kazi!
Mkiona wametulia huku wakipiga porojo za hapa na pale kuzuga bado wapo huku wanaimba mapambio mjue mnapigwa!
Chadema hii ipo very compromised! Hili huwezi kuona kama ni mfia vyama.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kasema February means ndio kwanza wameanza baada ya maridhiano na sio kwamba tulikua tunachukua miaka yote kma mlivyodai.Lissu amethibitisha leo, unasemaje hapo?
Compromised kisa Nini? Wamepewa mikutano, wamepewa lifeline ya katiba Sasa unataka wakatae? Yaani kwanini uwe na ugomvi na mtu ambaye amekua positive kwa demokrasia?Walikuwa na ugomvi na JPM sio demokrasia. Wananchi kuweni makini, mkisikia wanasiasa wanalia sana ujue aliye madarakani anafanya kazi!
Mkiona wametulia huku wakipiga porojo za hapa na pale kuzuga bado wapo huku wanaimba mapambio mjue mnapigwa!
Chadema hii ipo very compromised! Hili huwezi kuona kama ni mfia vyama.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 Bado unalilia uthibitisho?Kwanza thibitisha kuwa wamepokea hiyo ruzuku maana sio mara ya kwanza kuambiwa na wqpinzani wao kuwa wanapokea ruzuku.
Amandla...
Hiyo barua ni feki, Chadema haijawahi pokea ruzuku ya 800 million plus na hiyo ni FACT. Kanionyeshe hiyo barua ni wapi imeandikwa kwenye page ya ACT? Tunapinga disinformation otherwise tutakua na taifa la ajabu sana.Punguza kujifanya unaijua Chadema. Wewe ni shabiki tu wa mitandaoni hujui lolote umejaa upofu wa mahaba. Wewe ni mtaji wa wanasiasa wapigaji. Haya sasa anza kuimba nyimbo za kusifia utamu wa ruzuku.
Haya sasa kaandika migazeti yako mirefu kusifia upokeaji wa ruzuku ndio kitu pekee unachotakiwa kufanya hauna lolote unajua kuhusu Chadema.Hiyo barua ni feki, Chadema haijawahi pokea ruzuku ya 800 million plus na hiyo ni FACT. Kanionyeshe hiyo barua ni wapi imeandikwa kwenye page ya ACT? Tunapinga disinformation otherwise tutakua na taifa la ajabu sana.
Sukuma gang mtazidi kuumia tu kama inawauma sana kuona Chadema na CCM wako in peace kazikwe na JPM. Zile enzi za wapinzani kumiminiwa risasi kisa siasa hazipo Tena ni peace throughout the political class. Poleni sana kwa maumivuHaya sasa kaandika migazeti yako mirefu kusifia upokeaji wa ruzuku ndio kitu pekee unachotakiwa kufanya hauna lolote unajua kuhusu Chadema.
Mle matapishi halafu Zito alaumiwe, patheticKwa hiyo lengo la hii press ni nini? Hapo ndio utaona kazi hasa ya ZZK kwa upinzani ni ipi, si kujenga bali kubomoa tangu mwanzo ...