Kumbe Diamond ana nyodo kiasi hiki

Weer bado tunamalizia swimming pool

Kumbe ndo maana unajifanya unamchukia mama ubaya, kumbe unamtaka bwana ake? Basi imekula kwako, utaishia kumsifia mpaka bundle liishe,utaishia kumuona instagram na leaders club au uwanja wa pasiasi mwanza, hahaahaha ahaha utajibeba
 

pole mkuu umejisumbua bure diamond hana access na jamii forum umepoteza time yako kuandika bureeeee
 
Kumbe ndo maana unajifanya unamchukia mama ubaya, kumbe unamtaka bwana ake? Basi imekula kwako, utaishia kumsifia mpaka bundle liishe,utaishia kumuona instagram na leaders club au uwanja wa pasiasi mwanza, hahaahaha ahaha utajibeba

Bina tafadhali nimecheka aiseeeee, ngoja nikaoge na kuoga aiseeeee, yashakua hayooooo duuu nimekuita kule kwa kiba unajifanya hunisikiiiii mfuuuu
 
Bina tafadhali nimecheka aiseeeee, ngoja nikaoge na kuoga aiseeeee, yashakua hayooooo duuu nimekuita kule kwa kiba unajifanya hunisikiiiii mfuuuu

Ndo ivo uache kumshobokea baba ubaya ana wake, tena kamnunulia murrano, sasa wewe unavyojishaua kumsifia apa utafikir kakuwekea vocha kwenye simu mfyuu, ebu nipishe apa, kwanza umeona mama ubaya yupo china anafanya shopping ya biashara ya vipodozi au ndo hutak kumsikia kabisa??
 
Mtu yeyote anayeijua kz yake hawezi kukubali kuburuzwa, kwahy hata yeye hawezi kukubali kwa mfano, TI alipwe usd 50m halafu yeye alipwe 1m, huu ni upuuzi, ila kama mmeamua kumjengea fitina ili aonekane wa ovyo kwa kudai malipo yenye kueleweka ni sawa kwa upande wa wapuuzi, lakini sisi wafuatiliaji wa mambo tunapenda kuona wasanii wa kitanzania nao wanafaidika kupitia kazi zao za kisanii, na katika suala la hawa wasanii wawili Diamond na Ali inabidi tuwashindanishe au tuwape sifa kupitia kazi zao ndio tutajua ni nani mkali kati yao na siyo kupitia ushawishi wa nje ya kazi zao.
Waandaaji walitaka akubali dau la wasanii waliojisahau ili wao wapige hela, maana inajulikana kuwa waandaaji wanataka kufaidika zaidi wao na si kuwainua wasanii, ndio maana wasanii wakitoa single 3 tu baaaas ndio imetoka, matokeo wanaendelea kusubiri ugali wa folen kwa wazazi na kupishana nao kwenda chooni, lakin waandaaji wanakula maisha safi kwa upuuzi wa baadhi ya wasanii kujikomba ili wauze sura na si kupata lipato. Inabidi wabadilike waufanye muziki ni kazi yao na si kufanya bora liende, mwenzao mjanja ametumia fursa zilizopo lakini leo hii mnataka kumshusha kwa njia haram, lakin endeleen labda mtafanikiwa waungwana.
Tuendelee kuchangia kwa hoja na si matusi!
 
haaa haaa haaa you make ma day mana ndio naingia jf sasa,na swimming pool yetu imenicost kama milion 200 pekee mana chini chini kuna system ya music.

Hhhhhaaaaaaaaaa
 

Kwa taarifa yako msukuma wangu ana pesa mpaka naumwaaaaaw,hizo gari sie tunazo zaidiii,napenda mziki mengine yenu timu kiba,,uje pm nikuoneshee mme wangu alivyo handsome na pesa anayo utanitakaaaaaa,ndio masaa 24 naperuz jamii sina muda wa kuosha vyombo au kupikaaaaq
 
kwenye hii issue ya diamond kila member wa jf atafungua thread. Nahisi pple walikua wanatamani kuanzisha thread zao ila walikua hawana topic hahaha wengne tuwe tunachangia tu since yaliyoandikwa yote
yameshadiscusiwa humu.

Shikamoo! Hongera kwa kuligundua hilo, waanzishe na gazeti kabisa! !
 
Mleta mada unajidai kujua sana kanuni za maisha?? Enhe we mfuata kanuni hizo zimekusaidia vipi kufanikiwa? Bongo hii uishi kumfurahisha kila mtu is it possible!?
Eti kaonesha dharau lol! Under my foot!! We mpaka leo umewadharau Wangapi? kama hujawahi kudharau mtu, je hiyo imekuongezea nini kwenye maisha yako?

Eti anabadilisha mademu! Ebu tuambie the list yako imefikia ngapi hadi leo!

Btw, Who are you to judge others na kuwafundisha maisha?
 
acheni wivu na roho mbaya,mi nilikiwa siamini story za watu kukataa kujenga nyumba za ukweli makwao huko vijijini kwa sababu wanahofia kurogwa,sasa ndio naamini,hapa mjini tu watu roho zinataka kuwatoka,mngekuwa na uwezo nyie mngekuwa mshamroga,
diamond piga kazi,invest pesa yako sehemu za maana hata ukipotea kwenye game usije kufa masikini,kuna watu wanasibiri udondoke waanze ku
 

Hahahaaaaa chezea watu na waume zao wewe???
Taratibu mama lupita nyongo asimvizie....
 
Kiba na Ti wataimba nn jamanπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ acheni promo za uongo

Hahahaaa.
Timbwili liko hivi now, imagine Q chief naye atake kuchua kiti,.. si itakua blood shed???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…