Kumbe Diamond Platnumz ni mkali hivi?

Kifupi tuu ni kwamba hii nyimbo imeeleweka kwa haraka mnoo.
Inachezeka na kusikilizika.
 
huyu adui aliyeharibu akili za watoto kwa miziki yake ya kishetani ana haja hata ya kumjadili kwa greath thinkers kweli?
 
Mazee umeua sana.
 
Kwenye Industry ya sanaa hutakiwi kuwa wa vuguvugu kama umeamua kuwa wa maji baridi au ya moto ni poa kuliko hujulikani..


Huyu jamaa hajataka kuwa wa vuguvugu yaani kaingia mazima.
 
VIDEO VIXEN NI PISI HASWAAAAAAAA. JAMAAA NI LAZIMA ALIIILAMBA. AFTER ASEEEEEE MAAANA HAZIKATAIGI HIZOOOOOO ASEEEEEEEEEEEE. AFUU KINA DEGREE DAH KIBICHIII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…