Akili zako na huyo Paskali wote sawa and please (do no add the biblical connotations on this arguments) the guy you adore is almost 70 yrs a toothless dog in politics.
Ndugu P, kuanzia tarehe 17 March 2021 kurudi nyuma nilikuwa sikuelewi kabisa, sijui ulikuwa umekula maharage ya wapi, but now you are talking! Bravo brother P.
Bwana Mayala huchoki kunishangaza, nikidhani umefika mwisho kunde bado una mpya. DPP ni ofisi, siyo mtu, inatawaliwa na sheria. Kwa ufahamisho wako (naona hujui) kesi za ugaidi huwa hazina ushahidi, mashahidi wameuwa au wamejiua. Dawa ni kuwashikilia as long as possible, ili jamii iwe salama kwa muda huo. Umesahau ubalozi wa Marekani ulipolipuliwa mwaka ule? ...
Wala usizunguke sana Paskali, tatizo zima liko kwenye hii katiba inayompa rais mamlaka ya kimungu. Huyu DPP wa sasa sidhani kama anatenda haki kwa maana ya haki, bali anafuata maagizo ya rais aliyeko madarakani. Ikitokea rais huyu akaondoka madarakani kwa sababu yoyote leo hii, na akaingia rais muovu kama aliyepita, DPP huyu huyu ataagizwa kufanyia watu maovu tena.
Kama kweli unaongelea haki kwa maana ya haki, kuandika mada ndefu za kumsifu DPP ni kupoteza muda, maana DPP anapewa maagizo na rais. Ni vyema ukajiunga na watanzania wengine kudai katiba mpya, itakayopunguza madaraka ya rais, na kutoa nguvu kwa taasisi. Vinginevyo akifanikiwa kuingia rais mwingine muovu kama Mwigulu Nchemba, utaishia kuandika mada za kupingana na haya iliyoandikwa hapa, na tutaendelea kukuona ni bendera fuata upepo tu.
Wewe ni msomi mkubwa na member maarufu sana humu. Ila wakati wa mauaji na mateso ya mwendazake wewe na Mwanakijiji mlikaa kimya na mkasapoti mauaji na mateso
Hizi makala zako zingeegemea KATIBA MPYA.Ila siwezi kukushangaa akili zimeanza kurudi mwezi murch.
Emu tumieni elimu yenu kwa ufasaha ili kusaidia Taifa. Siasa wekeni pembeni kwenye mambo ya msingi.
Ila ukada huwa unawaondoa akili.
Mi niishie hapa.nilitaka nijue tu kipindi cha miaka mitano iliyopita hakuna matukio yaliyotokea na haukuandika chochote .
Ney was mitego ndie aliweza kueleza,kuonya na kusema waziwazi.kwa kutumia nafasi yake.
Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, wiki nne mfululizo, nimekuwa nikiandika makala za "Kilio cha Haki" nikijiekeza ofisi ya DPP, hatimaye sasa kuna kitu kinatendwa na kinaonekana
Pasco nimesikitika kuwa mama hajakupatia hata uDC na kuna wengine ambao wanaonekana hawastahili lakini wamepata teuzi. Usife moyo. Endelea kupambania kombe.
Nafasi ya Juliana holaa, nafas ya Abbas holaa, nafasi ya Garson holaa. Iliyobakia sasa hivi ni nafas ya Ryoba tu na hii ikishindikana basi itakuwa tu KARMA lazima itakuwa kamfanyia mtu kitu kwa iyo inamrudia haiwezekani vijana uchwara wanalamba teuzi Pasco anaachwa. Haiwezekani!
Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita.
Wanasheria wana vimisemo vyao vingi vingi vya kisheria, vingi viko kwenye lugha ya Kilatini, na kutafsiriwa kwa Kiingereza kisha Kiswahili, mmoja wa msemo maarufu sana kuhusu haki, unasema "Justice must not only be done, must be seen to be done", kumaanisha "Haki sio tuu ni lazima itendeke, bali pia ionekane inatendeka". Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, wiki nne mfululizo, nimekuwa nikiandika makala za "Kilio cha Haki" nikijiekeza ofisi ya DPP, hatimaye sasa kuna kitu kinatendwa na kinaonekana.
Unapoandika makala kulalamikia jambo fulani, na kutoa ushauri wa nini kifanyike, halafu ikatokea hicho ulichashauri kikafanyika, kama ulivyoshauri, hatua ya kwanza ni kutoa pongezi, kwa hicho kilichofanyika, hivyo makala ya leo, naianza kwa kumpongeza DPP, ametenda!. Kumbe Kutenda haki kunawezekana, hongera sana DPP mpya kwa kuianza kazi yako vizuri, sasa sio tuu haki inatendeka, bali pia inaonekana kutendeka, hivyo kazi hii nzuri na iendelee, na sio kusubiri tena hadi Mama aseme!.
Sasa naendelea na ule ushauri wa DPP, wiki iliyopita niliishia number 6, leo naendelea.
Kuna watuhumiwa wako mahabusu kwa makosa yanayodhaminika, bali DPP ameiamuru mahakama kuzuia dhamana zao. Hapa kuna mambo 3.Moja ni masuala ya weledi, haki na uwajibikaji wakati wa kutekeleza mamlaka kwa mujibu wa kifungu hiki. Mbili ni uhalali wa kifungu hiki kikatiba ambacho kwa kweli hakitoi uwajibikaji kabisa ndio maana kilifutwa kwenye CPA baada ya mahakama kujiridhisha kifungu hiki kinakwenda kinyume cha katiba, kisheria, mahakama ikiishatoa amri, sharia fulani au kifungu fulani kiko kinyume cha katiba, na kifungu hicho kifute, kifungu hicho kinakuwa “null and void ab initio”, yaani hakukuwahi kuwepo,
Lakini kwenye kufutwa kwa kifungu hiki, kuna kitu cha ajabu kimetokea, wakati kifungu hiki kimefutwa na mahakama kwa kuwa kinyume cha katiba kwenye CPA, kifungu hicho bado kipo kwenye EOCCA!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hapa naiomba Mahakama inatamka kifungu fulani kinakwenda kinyume cha katiba, na kuamuru kifutwe, kifungu hicho kifutwe kwenye sheria nyingine zote.
Sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa kidigitali, Tanzania na sisi tutumie nafuu za kidigitali, kwa kuanzisha “digital custody “ mahabusu za kidigitali na “digital cells”, jela za kidigitali, mtuhumiwa anazuiliwa nyumbani kwake, hata kutumikia kifungo akiwa nyumbani kwakwe kwa kufungiwa kifaa maalum cha GPS (tracking device), inayofungwa kwa lakiri ya kidigitali, na kuwa kuzuiwa nyumbani kwake, nyumba hiyo inafungwa kamera, maalum, (IP Camera) kama zile kamera za CCTV, hivyo polisi/magereza wanaona nyendo zote za mtuhumiwa, akivuka tuu ile IP camera, inapiga alarm, mtuhumiwa anakuwa amekiuka masharti hivyo kustahili kuzuiliwa mahabusu. Utaratibu huu unaruhusu mke anapata haki zake za ndoa, watoto wanapata mapenzi ya baba, na baba kuendelea na shughuli za kuingiza kipato cha kuendesha familia.
Mahabusu ni mtuhumiwa tuu, anahesabika hana hatia hadi athibitishwe na mahakama, lakini mahabusu wetu, wanahesabiwa kama wafungwa, wananyimwa haki zao , mfano watuhumiwa wengi tuu ambao sio hatarishi wamefiwa na ndugu zao, wazazi wao, wapendwa wao au jamaa zao, bila kupewa haki ya kushiriki mazishi yao, akiwemo mwanafani mwenzetu Erick Kabendera, ambaye mama yake alitoa kilio chake mahali kuwa uhai wake unamtegemea mwanae. Mama huyo alipoteza maisha kwa sababu ya mwanae kushikiliwa mahabusu, na mwanae hakuruhusiwa kumzika. Sisi watu wa karma, tulitoa angalizo la karma ya huyu mama, wanaojua karma ilikuja kufanya nini, wanajua!. Mahabusu wa wenzetu, hata wana ndoa, wanaruhusiwa kupata haki zao, hata wawapo mahabusu au vifungoni,
Mhabusu zetu ni mahali mahali hatarishi, na kutokana na umasikini wetu, hatuna magereza ya mahabusu (remand prison) na jela ya wahalifu, Mahabusu wetu, wanashikiliwa jela kama wafungwa. Wapo baadhi ya mahabusu wanafanyiwa vitendo vibaya au viovu wakiwa mahabusu na wapo ambao wamepata matatizo ya kiafya permanently kwa kurundikana mahabusu bila huduma za msingi ambapo wangeweza kujihudumia wenyewe wawapo nje. DPP/serikali inapata faida gani kuswekwa watu rumande na kuzuia dhamana?!.
Japo hapa natetea haki za watuhumiwa , pia naomba pia kuzingatia haki za wahanga wa uhalifu. Katika ulimwengu wa uhalifu kuna watu wabaya kupita kipimo. Just imagine unakuta mtu mzima umembaka mtoto wa miaka 2 na kumharibu vibaya sehemu zake za siri na pengine akamwambukiza HIV, mauaji ya kutisha , vitendo vya vikundi vya kihalifu kama panya road na mapanga yao wanapokuingilia na kukucharanga mapanga bila huruma na kumbaka binti yako au mkeo mbele yako na visa vingine vingi. Hao ni ma “psychopath” wanastahi kukaa mahabusu kwasabu ni watu hatarishi, wasipate dhamana kwa vile wamepoteza sifa za haki yao kuwa huru.
Ule utaratibu wa notification kwa makosa ya usalama barabarani, na kulipa faini za papo kwa papo, utumike pia kwenye vituo vya polisi, mwizi wa kuku akiri kuiba kuku, akubali kumlipa aliyemuibia na kulipa faini, kesi hiyo inaishia hapo hapo kituoni wala haina haja ya kufikishwa mahakamani.
Majaji wetu, kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana, nao wanapaswa kufanya kazi kama vituo vya polisi, mahospitali na dharura nyingine kwa saa 24. Kama ilivyo kwa madaktari wa zamu anapigiwa simu kukitokea dharura, kuwe na majaji wazamu saa 24/7. Nimeshuhudia hii Afrika Kusini, kila mtuhumiwa anapelekwa kwa hakimu wakati wowote hadi usiku wa manane, kama vile madaktari au vituo vya polisi.
Mwisho, Mheshimiwa sana, DPP wetu mpya, hongera kwa uteuzi wako mpya, Watanzania tunamatumaini makubwa sana na Rais wetu Mama Samia katika nia yake ya dhati kutaka Watanzania watendewe haki, na Mama Samia, amekuaminia wewe kuongoza na ofisi hii muhimu sana, ya DPP, timiza wajibu wako kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, kama ulivyoanza, Taifa litaponywa, kwa haki sio tuu kwa haki kutendeka, bali pia kwa haki kuonekana imetendeka.
Mungu Ibariki Tanzania.
Baada ya kumalizana na DPP, ungana nami wiki ijayo tukianzana na Jaji Mkuu na Mfumo mzima wa Mahakama katika utoaji haki. .
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa jibu lolote. Makala hizi zitakuwa zinatoka kwenye Gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Makala...
Wanabodi, Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki". Japo hakuna binaadamu yoyote anayefurahi kifo cha mtu yoyote, kifo chochote kinapotokea, kinahesabika ni mpango wa Mungu, na kama kawaida watu...
Wanabodi, Jumatatu ya leo, naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili, makala ya leo ni swali la ushauri wa Bure kwa DPP, kwa vile Rais Samia, ameishaonyesha nia njema ya kutaka Watanzania watendewe haki, Jee...
Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita.
Wanasheria wana vimisemo vyao vingi vingi vya kisheria, vingi viko kwenye lugha ya Kilatini, na kutafsiriwa kwa Kiingereza kisha Kiswahili, mmoja wa msemo maarufu sana kuhusu haki, unasema "Justice must not only be done, must be seen to be done", kumaanisha "Haki sio tuu ni lazima itendeke, bali pia ionekane inatendeka". Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, wiki nne mfululizo, nimekuwa nikiandika makala za "Kilio cha Haki" nikijiekeza ofisi ya DPP, hatimaye sasa kuna kitu kinatendwa na kinaonekana.
Unapoandika makala kulalamikia jambo fulani, na kutoa ushauri wa nini kifanyike, halafu ikatokea hicho ulichashauri kikafanyika, kama ulivyoshauri, hatua ya kwanza ni kutoa pongezi, kwa hicho kilichofanyika, hivyo makala ya leo, naianza kwa kumpongeza DPP, ametenda!. Kumbe Kutenda haki kunawezekana, hongera sana DPP mpya kwa kuianza kazi yako vizuri, sasa sio tuu haki inatendeka, bali pia inaonekana kutendeka, hivyo kazi hii nzuri na iendelee, na sio kusubiri tena hadi Mama aseme!.
Sasa naendelea na ule ushauri wa DPP, wiki iliyopita niliishia number 6, leo naendelea.
Kuna watuhumiwa wako mahabusu kwa makosa yanayodhaminika, bali DPP ameiamuru mahakama kuzuia dhamana zao. Hapa kuna mambo 3.Moja ni masuala ya weledi, haki na uwajibikaji wakati wa kutekeleza mamlaka kwa mujibu wa kifungu hiki. Mbili ni uhalali wa kifungu hiki kikatiba ambacho kwa kweli hakitoi uwajibikaji kabisa ndio maana kilifutwa kwenye CPA baada ya mahakama kujiridhisha kifungu hiki kinakwenda kinyume cha katiba, kisheria, mahakama ikiishatoa amri, sharia fulani au kifungu fulani kiko kinyume cha katiba, na kifungu hicho kifute, kifungu hicho kinakuwa “null and void ab initio”, yaani hakukuwahi kuwepo,
Lakini kwenye kufutwa kwa kifungu hiki, kuna kitu cha ajabu kimetokea, wakati kifungu hiki kimefutwa na mahakama kwa kuwa kinyume cha katiba kwenye CPA, kifungu hicho bado kipo kwenye EOCCA!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hapa naiomba Mahakama inatamka kifungu fulani kinakwenda kinyume cha katiba, na kuamuru kifutwe, kifungu hicho kifutwe kwenye sheria nyingine zote.
Sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa kidigitali, Tanzania na sisi tutumie nafuu za kidigitali, kwa kuanzisha “digital custody “ mahabusu za kidigitali na “digital cells”, jela za kidigitali, mtuhumiwa anazuiliwa nyumbani kwake, hata kutumikia kifungo akiwa nyumbani kwakwe kwa kufungiwa kifaa maalum cha GPS (tracking device), inayofungwa kwa lakiri ya kidigitali, na kuwa kuzuiwa nyumbani kwake, nyumba hiyo inafungwa kamera, maalum, (IP Camera) kama zile kamera za CCTV, hivyo polisi/magereza wanaona nyendo zote za mtuhumiwa, akivuka tuu ile IP camera, inapiga alarm, mtuhumiwa anakuwa amekiuka masharti hivyo kustahili kuzuiliwa mahabusu. Utaratibu huu unaruhusu mke anapata haki zake za ndoa, watoto wanapata mapenzi ya baba, na baba kuendelea na shughuli za kuingiza kipato cha kuendesha familia.
Mahabusu ni mtuhumiwa tuu, anahesabika hana hatia hadi athibitishwe na mahakama, lakini mahabusu wetu, wanahesabiwa kama wafungwa, wananyimwa haki zao , mfano watuhumiwa wengi tuu ambao sio hatarishi wamefiwa na ndugu zao, wazazi wao, wapendwa wao au jamaa zao, bila kupewa haki ya kushiriki mazishi yao, akiwemo mwanafani mwenzetu Erick Kabendera, ambaye mama yake alitoa kilio chake mahali kuwa uhai wake unamtegemea mwanae. Mama huyo alipoteza maisha kwa sababu ya mwanae kushikiliwa mahabusu, na mwanae hakuruhusiwa kumzika. Sisi watu wa karma, tulitoa angalizo la karma ya huyu mama, wanaojua karma ilikuja kufanya nini, wanajua!. Mahabusu wa wenzetu, hata wana ndoa, wanaruhusiwa kupata haki zao, hata wawapo mahabusu au vifungoni,
Mhabusu zetu ni mahali mahali hatarishi, na kutokana na umasikini wetu, hatuna magereza ya mahabusu (remand prison) na jela ya wahalifu, Mahabusu wetu, wanashikiliwa jela kama wafungwa. Wapo baadhi ya mahabusu wanafanyiwa vitendo vibaya au viovu wakiwa mahabusu na wapo ambao wamepata matatizo ya kiafya permanently kwa kurundikana mahabusu bila huduma za msingi ambapo wangeweza kujihudumia wenyewe wawapo nje. DPP/serikali inapata faida gani kuswekwa watu rumande na kuzuia dhamana?!.
Japo hapa natetea haki za watuhumiwa , pia naomba pia kuzingatia haki za wahanga wa uhalifu. Katika ulimwengu wa uhalifu kuna watu wabaya kupita kipimo. Just imagine unakuta mtu mzima umembaka mtoto wa miaka 2 na kumharibu vibaya sehemu zake za siri na pengine akamwambukiza HIV, mauaji ya kutisha , vitendo vya vikundi vya kihalifu kama panya road na mapanga yao wanapokuingilia na kukucharanga mapanga bila huruma na kumbaka binti yako au mkeo mbele yako na visa vingine vingi. Hao ni ma “psychopath” wanastahi kukaa mahabusu kwasabu ni watu hatarishi, wasipate dhamana kwa vile wamepoteza sifa za haki yao kuwa huru.
Ule utaratibu wa notification kwa makosa ya usalama barabarani, na kulipa faini za papo kwa papo, utumike pia kwenye vituo vya polisi, mwizi wa kuku akiri kuiba kuku, akubali kumlipa aliyemuibia na kulipa faini, kesi hiyo inaishia hapo hapo kituoni wala haina haja ya kufikishwa mahakamani.
Majaji wetu, kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana, nao wanapaswa kufanya kazi kama vituo vya polisi, mahospitali na dharura nyingine kwa saa 24. Kama ilivyo kwa madaktari wa zamu anapigiwa simu kukitokea dharura, kuwe na majaji wazamu saa 24/7. Nimeshuhudia hii Afrika Kusini, kila mtuhumiwa anapelekwa kwa hakimu wakati wowote hadi usiku wa manane, kama vile madaktari au vituo vya polisi.
Mwisho, Mheshimiwa sana, DPP wetu mpya, hongera kwa uteuzi wako mpya, Watanzania tunamatumaini makubwa sana na Rais wetu Mama Samia katika nia yake ya dhati kutaka Watanzania watendewe haki, na Mama Samia, amekuaminia wewe kuongoza na ofisi hii muhimu sana, ya DPP, timiza wajibu wako kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, kama ulivyoanza, Taifa litaponywa, kwa haki sio tuu kwa haki kutendeka, bali pia kwa haki kuonekana imetendeka.
Mungu Ibariki Tanzania.
Baada ya kumalizana na DPP, ungana nami wiki ijayo tukianzana na Jaji Mkuu na Mfumo mzima wa Mahakama katika utoaji haki. .
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa jibu lolote. Makala hizi zitakuwa zinatoka kwenye Gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Makala...
Wanabodi, Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki". Japo hakuna binaadamu yoyote anayefurahi kifo cha mtu yoyote, kifo chochote kinapotokea, kinahesabika ni mpango wa Mungu, na kama kawaida watu...
Wanabodi, Jumatatu ya leo, naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili, makala ya leo ni swali la ushauri wa Bure kwa DPP, kwa vile Rais Samia, ameishaonyesha nia njema ya kutaka Watanzania watendewe haki, Jee...
Mkuu Pascal Mahakimu/Majaji, bado ni tatizo kubwa sana katika Mahakama zetu,wengi wao wamekuwa wanatowa maamuzi kwa upendeleo! Nasii kwa kuangalia haki! Hawatowi haki,Bali wao ndiyo wanauza haki kwa mwenye nacho!!
Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita.
Wanasheria wana vimisemo vyao vingi vingi vya kisheria, vingi viko kwenye lugha ya Kilatini, na kutafsiriwa kwa Kiingereza kisha Kiswahili, mmoja wa msemo maarufu sana kuhusu haki, unasema "Justice must not only be done, must be seen to be done", kumaanisha "Haki sio tuu ni lazima itendeke, bali pia ionekane inatendeka". Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, wiki nne mfululizo, nimekuwa nikiandika makala za "Kilio cha Haki" nikijiekeza ofisi ya DPP, hatimaye sasa kuna kitu kinatendwa na kinaonekana.
Unapoandika makala kulalamikia jambo fulani, na kutoa ushauri wa nini kifanyike, halafu ikatokea hicho ulichashauri kikafanyika, kama ulivyoshauri, hatua ya kwanza ni kutoa pongezi, kwa hicho kilichofanyika, hivyo makala ya leo, naianza kwa kumpongeza DPP, ametenda!. Kumbe Kutenda haki kunawezekana, hongera sana DPP mpya kwa kuianza kazi yako vizuri, sasa sio tuu haki inatendeka, bali pia inaonekana kutendeka, hivyo kazi hii nzuri na iendelee, na sio kusubiri tena hadi Mama aseme!.
Sasa naendelea na ule ushauri wa DPP, wiki iliyopita niliishia number 6, leo naendelea.
Kuna watuhumiwa wako mahabusu kwa makosa yanayodhaminika, bali DPP ameiamuru mahakama kuzuia dhamana zao. Hapa kuna mambo 3.Moja ni masuala ya weledi, haki na uwajibikaji wakati wa kutekeleza mamlaka kwa mujibu wa kifungu hiki. Mbili ni uhalali wa kifungu hiki kikatiba ambacho kwa kweli hakitoi uwajibikaji kabisa ndio maana kilifutwa kwenye CPA baada ya mahakama kujiridhisha kifungu hiki kinakwenda kinyume cha katiba, kisheria, mahakama ikiishatoa amri, sharia fulani au kifungu fulani kiko kinyume cha katiba, na kifungu hicho kifute, kifungu hicho kinakuwa “null and void ab initio”, yaani hakukuwahi kuwepo,
Lakini kwenye kufutwa kwa kifungu hiki, kuna kitu cha ajabu kimetokea, wakati kifungu hiki kimefutwa na mahakama kwa kuwa kinyume cha katiba kwenye CPA, kifungu hicho bado kipo kwenye EOCCA!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hapa naiomba Mahakama inatamka kifungu fulani kinakwenda kinyume cha katiba, na kuamuru kifutwe, kifungu hicho kifutwe kwenye sheria nyingine zote.
Sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa kidigitali, Tanzania na sisi tutumie nafuu za kidigitali, kwa kuanzisha “digital custody “ mahabusu za kidigitali na “digital cells”, jela za kidigitali, mtuhumiwa anazuiliwa nyumbani kwake, hata kutumikia kifungo akiwa nyumbani kwakwe kwa kufungiwa kifaa maalum cha GPS (tracking device), inayofungwa kwa lakiri ya kidigitali, na kuwa kuzuiwa nyumbani kwake, nyumba hiyo inafungwa kamera, maalum, (IP Camera) kama zile kamera za CCTV, hivyo polisi/magereza wanaona nyendo zote za mtuhumiwa, akivuka tuu ile IP camera, inapiga alarm, mtuhumiwa anakuwa amekiuka masharti hivyo kustahili kuzuiliwa mahabusu. Utaratibu huu unaruhusu mke anapata haki zake za ndoa, watoto wanapata mapenzi ya baba, na baba kuendelea na shughuli za kuingiza kipato cha kuendesha familia.
Mahabusu ni mtuhumiwa tuu, anahesabika hana hatia hadi athibitishwe na mahakama, lakini mahabusu wetu, wanahesabiwa kama wafungwa, wananyimwa haki zao , mfano watuhumiwa wengi tuu ambao sio hatarishi wamefiwa na ndugu zao, wazazi wao, wapendwa wao au jamaa zao, bila kupewa haki ya kushiriki mazishi yao, akiwemo mwanafani mwenzetu Erick Kabendera, ambaye mama yake alitoa kilio chake mahali kuwa uhai wake unamtegemea mwanae. Mama huyo alipoteza maisha kwa sababu ya mwanae kushikiliwa mahabusu, na mwanae hakuruhusiwa kumzika. Sisi watu wa karma, tulitoa angalizo la karma ya huyu mama, wanaojua karma ilikuja kufanya nini, wanajua!. Mahabusu wa wenzetu, hata wana ndoa, wanaruhusiwa kupata haki zao, hata wawapo mahabusu au vifungoni,
Mhabusu zetu ni mahali mahali hatarishi, na kutokana na umasikini wetu, hatuna magereza ya mahabusu (remand prison) na jela ya wahalifu, Mahabusu wetu, wanashikiliwa jela kama wafungwa. Wapo baadhi ya mahabusu wanafanyiwa vitendo vibaya au viovu wakiwa mahabusu na wapo ambao wamepata matatizo ya kiafya permanently kwa kurundikana mahabusu bila huduma za msingi ambapo wangeweza kujihudumia wenyewe wawapo nje. DPP/serikali inapata faida gani kuswekwa watu rumande na kuzuia dhamana?!.
Japo hapa natetea haki za watuhumiwa , pia naomba pia kuzingatia haki za wahanga wa uhalifu. Katika ulimwengu wa uhalifu kuna watu wabaya kupita kipimo. Just imagine unakuta mtu mzima umembaka mtoto wa miaka 2 na kumharibu vibaya sehemu zake za siri na pengine akamwambukiza HIV, mauaji ya kutisha , vitendo vya vikundi vya kihalifu kama panya road na mapanga yao wanapokuingilia na kukucharanga mapanga bila huruma na kumbaka binti yako au mkeo mbele yako na visa vingine vingi. Hao ni ma “psychopath” wanastahi kukaa mahabusu kwasabu ni watu hatarishi, wasipate dhamana kwa vile wamepoteza sifa za haki yao kuwa huru.
Ule utaratibu wa notification kwa makosa ya usalama barabarani, na kulipa faini za papo kwa papo, utumike pia kwenye vituo vya polisi, mwizi wa kuku akiri kuiba kuku, akubali kumlipa aliyemuibia na kulipa faini, kesi hiyo inaishia hapo hapo kituoni wala haina haja ya kufikishwa mahakamani.
Majaji wetu, kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana, nao wanapaswa kufanya kazi kama vituo vya polisi, mahospitali na dharura nyingine kwa saa 24. Kama ilivyo kwa madaktari wa zamu anapigiwa simu kukitokea dharura, kuwe na majaji wazamu saa 24/7. Nimeshuhudia hii Afrika Kusini, kila mtuhumiwa anapelekwa kwa hakimu wakati wowote hadi usiku wa manane, kama vile madaktari au vituo vya polisi.
Mwisho, Mheshimiwa sana, DPP wetu mpya, hongera kwa uteuzi wako mpya, Watanzania tunamatumaini makubwa sana na Rais wetu Mama Samia katika nia yake ya dhati kutaka Watanzania watendewe haki, na Mama Samia, amekuaminia wewe kuongoza na ofisi hii muhimu sana, ya DPP, timiza wajibu wako kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, kama ulivyoanza, Taifa litaponywa, kwa haki sio tuu kwa haki kutendeka, bali pia kwa haki kuonekana imetendeka.
Mungu Ibariki Tanzania.
Baada ya kumalizana na DPP, ungana nami wiki ijayo tukianzana na Jaji Mkuu na Mfumo mzima wa Mahakama katika utoaji haki. .
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa jibu lolote. Makala hizi zitakuwa zinatoka kwenye Gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Makala...
Wanabodi, Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki". Japo hakuna binaadamu yoyote anayefurahi kifo cha mtu yoyote, kifo chochote kinapotokea, kinahesabika ni mpango wa Mungu, na kama kawaida watu...
Wanabodi, Jumatatu ya leo, naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili, makala ya leo ni swali la ushauri wa Bure kwa DPP, kwa vile Rais Samia, ameishaonyesha nia njema ya kutaka Watanzania watendewe haki, Jee...
PASI, PASIKALI, DPP kutenda haki ni subjective to.( ), Sio passive. Inategemea na upepo na maelekezo ya mtawala, sana sana mtakosana tu. Hakuna independence na haiwezi kuwa kutokana na upatikanaji wake.Fullstop
Pascal Mayalla wewe ni brilliant sana. Mtu akuchukie akupende..you know your stuff. To that nasema hongera sana!
Lakini zikija mada ambazo zinamtaka mtu asimame upande fulani (unpopular positions) ahesabiwe, you simply run AWOL. Mimi nadhani at your age and level, be who you are. Say it as it is. Tulitegemea watu kama nyinyi ndo akina Jenerali wa kesho. watu wanaoweza kuchambua mambo kwa kina bila kujipendekeza kwa yeyote.
But it is unfortunate kwamba hata wewe, sometimes unaweka taaluma yako pembeni kutetea waliochafuka vya kutosha. the past five yours have revealed your true colors. Again, maybe siko fair kukulaumu maana, wengi tulikuwa kama wewe. WE were terrified na wasiojulikana. It was really terrifying.
Tujitahidi tujenge kizazi cha vijana wasio waoga. Vijana wathubutu. Pascal, wewe level yako siyo hata ya kuwazia kuwa DC au DED..you are way past that level bro. Don't sell yourself cheap (ingawa najua mwisho wa siku wote tunahitaji kula na kulipa bills). But please.....protect your credibility at any cost! You are better and you deserve better.
Hizi kazi za U-DC waachie akina Lijualikali and the likes...maana ni kazi ambazo hazihitaji creativity ya aina yoyote zaidi ya kuvaa suti isiyo na collar 🙂
Apo hakuna haki hata moja iliyotendeka,Bali no maagizo tu kutoka mhimili uliojichimbia chini zaidi usitake kutuaminisha sisi wenye macho matatu.
Hivi wewe unaweza kwenda kusimama mahakamani kutoa ushahidi wa ugaidi,mfano mzuri waliokua wanahusika na mauaji ya kibiti wewe unaweza kuisaidia serikali kuwatambua?
Kwa ujumla hakuna haki DPP ametenda ukirejelea hotuba ya mh.rais siku anapokea report ya CAG na report ya takukuru unapata picha kamili kwamba ni maelekezo toka mhimili uliojichimbia chini zaidi na ndio maana alikimbilia kumteua yule ili iwe vyepesi kumpa maagizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.