Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…

Kuwa na akili kidogo, Mbowe hana bunduki wala silaha yoyote, silaha yake ni mdomo. OVer
 
Asije tu akakurupuka kuwaachia kiholela watuhumiwa kweli kwa kupenyezewa rupia,wananchi hatutokubali kamwe,na mazingira ya rushwa pia lazima yaangaliwe ktk kuwatoa hao watuhumiwa
 
Kwani wewe mbele ya habinda Seth sio mnyonge?mbele ya papa msofe sio mnyonge?hawawezi wakakuweka ndani bila hata kosa na ukaozea jera.Hawawezi wakaja kujenga kwenye kiwanja chako na na hati unayo wala usiwafanye kitu?sasa kwanini usiwe mnyonge
Mnyonge ni wew na familia yako na watu wenye mawazo kama hako, mimi siyo mnyonge na siwezi kuja kuwa mnyonge kamwe. But no offense intended.
 
Asije tu akakurupuka kuwaachia kiholela watuhumiwa kweli kwa kupenyezewa rupia,wananchi hatutokubali kamwe,na mazingira ya rushwa pia lazima yaangaliwe ktk kuwatoa hao watuhumiwa
Nani tena kuangalia hayo mazingira ya rushwa?wakati baraka zote zmetoka juu
 
Nitapingana na wote wanaokutakia upate TEUZI..! Maana wanataka madini kama haya tusiyapate tena. Uzoefu unaonesha teuzi zinawapoteza watu mf. Bashe
 
Leo ndio leo, jee haki itatendeka na kuonekana imetendeka ama...
Let's wait and see,
Ushauri wangu ni lets hope for the best kuwa ama DPP ataibuka na Nolle, ama Mahakama itatamka "there is no case to answer" but also let's get prepared for the worst mtu wetu akakutwa kweli ni gaidi hivyo ana kesi ya kujibu!.
Tusubirie...
P
 
Hili jambo, tumelipigia Sana kelele, tumepandisha ma thread na mathreads, makala na makala hatimaye Leo kimefanyika kitu.

wa kilichofanyika leo, Ile Nolle ya Mbowe, hongera Sana DPP, utabarikiwa, aliyekutuma atabarikiwa, Tanzania tutabarikiwa. Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana na haki ikaonekana imetendeka.

Mungu ibariki Tanzania,
Pasco
 
Paskali walibana wee wAmeachia!!
 
Umweke mtu mahabusu kwa miezi 8 bila ushahidi madhubuti kumbe anajua wazi akijisikia tu anamwachia!! Ukatili kiasi gani huu?
 
Moja ya watu waliokwenye wimbi la mawazo ni jaji Tiganga ambaye alikuwa kwenye ndoto za kupanda cheo kupitia kesi ya mbowe kama mwenzake alivyopata mseleleko kucheza dili na maccm kunahitaji umakini hawaeleweki wao punda afe mzigo ufike!!
 
Watu wanasubirì hadi madudu yafukunyuliwe ndipo waseme!, sisi tulioyaona yakifanyika, tulipigia kelele na haikusaidia kitu!, sijui kama hiyo barua itasaidia kitu maana post aliyopo sasa has a security of tenure, anaweza kuteuliwa tuu, hawezi kutenguliwa!, na post iliyotangulia ya DPP ina kinga ya kutohojiwa na yeyote au kushitakiwa!.
Huku ni kutwanga tuu maji kwenye kinu!.
P
 
2. Heshimi Haki za binadamu ambazo zimeainishwa kwenye Katiba. Kuna uvunjifu wa haki za binadamu mdogo mdogo
Kwenye eneo hili la haki za binaadamu, Mama Samia, apewe kongole sana, huyu ni mpenda haki, muwaza haki, msema haki, mtenda haki.
Ameonyesha kwa kauli na matendo!.
Mifano iko mingi tuu ya kumwaga hapa nakupa mifano mitano tuu!, ukitaka 10, nakupa, ukitaka 20 nakupa
- Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
Kwenye eneo la haki, so far Rais Samia ameisha onyesha kwa kauli na matendo, is the best of the best... ila sasa kwa kwa kadri siku zinavyokwenda, naona kama na yeye anaanza... itaendelea!, nitamalizia ...

P
 
Watu wengi tu majalada yetu yamekwama kwenda Mahakamani kisa Office ya DPP inachagua pande badala ya haki mradi tu una pesa za kumtuliza DPP!!!! Kuna Jamaa Kaka na file langu la Jinai pale Dodoma kwa DPP huu Mwaka wa pili,na ananipiga sound tu eti tunalifanyia kazi kumbe wamesha malizana na mtuhumiwa kwa mlungulaa na mi wameniacha kwenye mataaa!!
 
Lakini poa tu Karma itafanya kazi yake!!!
 
1. Huyu DPP miaka yote walikuwa wapi?
2. Leo ndio wameona watu wanaonewa?
Bora angekaa kimya kama ambavyo wamekuwa kimya sie huwa tunalia kwa Mola wetu ambae ndie hakimu wa haki.
 
Mkuu bagamoyo, asante kwa hii post, kwa ruhusa yako, naomba kuitumia kama mbolea kuboreshea baadhi ya mabandiko yangu ya kilio cha haki.

Natanguliza shukrani.

Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…