Sio ngumu ni mazoea tu.Mimi Shangazi ananishangaza kwenye kiingereza tu. Ndio unaweza kufahamna na kuongea kiingereza kwa ufasaha lakini Aunty licha ya kuongea kingereza kwa ufasaha lakini anakiongea kabisa na lafudhi ya uingereza tena kama ile ya Newcastle. Ni vigumu kwa mtu siyo Muingereza kuongea kiingereza na lafudhi ya uingereza. Hivi kawezaje? Aliishi na waingereza tangu utotoni?
Sky Eclat
MIMI SIZUNGUMZII KUJUA KIINGEREZA. NAZUNGUMZIA LAFUDHI. LAFUDHI YA FATMA NI YA UINGEREZA. ELEWA COMMENT YANGU.Sio ngumu ni mazoea tu.
Huwezi kuwa umesoma ktk shule za kajamba nani primary&secondary schools then uje usome vyuo vyetu hivi ambavyo hata wakufunzi ni chenga alafu utarajie raia wajue hiyo lugha vzr...
Secondary mpaka chuo amesoma Uingereza.Mimi Shangazi ananishangaza kwenye kiingereza tu. Ndio unaweza kufaham na kuongea kiingereza kwa ufasaha lakini Aunty licha ya kuongea kingereza kwa ufasaha lakini anakiongea kabisa na lafudhi ya uingereza tena kama ile ya Newcastle. Ni vigumu kwa mtu siyo Muingereza kuongea kiingereza na lafudhi ya uingereza. Hivi kawezaje? Aliishi na waingereza tangu utotoni?
Sky Eclat
Wangapi wamezaliwa Uingereza na wazazi wa mataifa mengine lakini kiingereza chao licha ya kuongea kifasaha hawana lafudhi ya Uingereza? Ni wachache sana. Wataongea kiingereza kizuri tu lakini ile lafudhi. Huyu Riki Sunak ni tofauti na wahindi wengine waliozaliwa Uingereza, kiingereza chake ni lafudhi ya Uingereza lakini mke wake amezaliwa na kukulia Uingereza tofauti. Fatuma aliwezaje tena akizungumza ni kile ka ndani ndani lafudhi ya wa NewcastleSecondary mpaka chuo amesoma uingereza.
Kasomea huko huko Uingereza...mpaka ngazi ya kuwa barrister.MIMI SIZUNGUMZII KUJUA KIINGEREZA. NAZUNGUMZIA LAFUDHI. LAFUDHI YA FATMA NI YA UINGEREZA. ELEWA COMMENT YANGU.
Mkuu wengi wako uingereza wanaongea kiingereza kwa ufasaha lakini siyo lafudhi. Ukizingatia Fatma siyo Muingereza kazaliwa na wazaz wazanzibar lakini kiingereza chake ni lafudhi ya uingereza. Kiingereza cha Salim Kikeke na Zuhra Yunus ni kizuri na kimeenyooka wameishi uingereza lakini wakiongea siyo lafudhi ya uingereza.
Alisoma elimu ya shule ya msingi, upili na chuo akiwa nchini Uingereza.Mimi Shangazi ananishangaza kwenye kiingereza tu. Ndio unaweza kufaham na kuongea kiingereza kwa ufasaha lakini Aunty licha ya kuongea kingereza kwa ufasaha lakini anakiongea kabisa na lafudhi ya uingereza tena kama ile ya Newcastle. Ni vigumu kwa mtu siyo Muingereza kuongea kiingereza na lafudhi ya uingereza. Hivi kawezaje? Aliishi na waingereza tangu utotoni?
Sky Eclat
Katazo la kufanya uanasheria lilishaondoshwa?Wakili mzoefu, Fatma Karume almaarufu shangazi leo amemtuhumu mtangazaji wa kipindi cha michezo cha Clouds FM, Prisca Kishamba kuwa ni muongo na yeye hamna kitu hapendi kama watu wanaofanya 'Assumption'.
Fatma alitengeneza swali na kumtaka mtangazaji amuulize upya kama alivyosema baada ya mtangazaji kulikosea, jambo ambalo mtangazaji alifanya. Mahojiano yao yalihusu sakata la Fei Toto kushindwa rufaa yake ambapo alikuwa anasimamiwa na Fatma Karume kama mwanasheria wake.
Video niambatanisha
View attachment 2535339