Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Wakili mzoefu, Fatma Karume almaarufu shangazi leo amemtuhumu mtangazaji wa kipindi cha michezo cha Clouds FM, Prisca Kishamba kuwa ni muongo na yeye hamna kitu hapendi kama watu wanaofanya 'Assumption'.
Fatma alitengeneza swali na kumtaka mtangazaji amuulize upya kama alivyosema baada ya mtangazaji kulikosea, jambo ambalo mtangazaji alifanya. Mahojiano yao yalihusu sakata la Fei Toto kushindwa rufaa yake ambapo alikuwa anasimamiwa na Fatma Karume kama mwanasheria wake.
Video niambatanisha
Fatma alitengeneza swali na kumtaka mtangazaji amuulize upya kama alivyosema baada ya mtangazaji kulikosea, jambo ambalo mtangazaji alifanya. Mahojiano yao yalihusu sakata la Fei Toto kushindwa rufaa yake ambapo alikuwa anasimamiwa na Fatma Karume kama mwanasheria wake.
Video niambatanisha