Kumbe gari ya kampuni?

wewe kufungua fungua thread huchoki kubwabwaja kila sik huchoki ndio shida ya kukaa muda mrefu bila ndoa

Mkuu ndoa tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upate funzo kua usianzishe tread ukiwa hujui kitu
Humu kuna watu wanajua mambo vyema kabisa
Ukiona hujui pata elimu usikimbizane nao
Ona sasa bado kidogo utakimbia uzi wako
Mala feki
Mala sio yake sasa
Bado kidogo utaleta uzi useme yake ila haendeshagi yeye
Yaan kifupi wewe ni mwijaku old model
Jifunze[emoji23][emoji23]
 
Jamaa hamna kitu kabisa, hizi roho mbaya ujaza uchafu rohoni
 
Domo ana tatizo ndani ya akili, hivi kwanini anapata sana tabu na walala hoi? anashindana na nani kulazimisha ku prove kuwa yeye ana pesa? kulikua na haja gani mpaka Bill of Lading ya hiyo gari yaka ikafika mitandaoni? Jama ni mshamba mno wa kiwango cha SGR
 
Umemjibu vizuri mkuu. Sijui alifikili kampuni manake serikali au
 
Inasimamia nini hii wasafi limited
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…