Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
[emoji1]rozi royze kulinani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rozi Royze Kulinani inawatesa sana haters kudadeki fanyeni kazi nyie acheni ungese
Umeshakula banKwani document imeandikwa Wasafi TV?
Go check it again.
Kugawana na mwanamke yupiAkili kubwa hii, hata siku ikitokea kaachana na mwanamke huko kwenye kugawana mali za kampuni itakuwa ishu, Diamond mjanja sana huyu
Wewe ni mke wa kusaga?Gari ni ya Joseph Kusaga.
Kabisa..hata kama kanunua used lknLet's learn from the best.. Kuwadiss waliotuzidi kimaisha haitatusaidia chochote.. Sana sana tutadhihirisha wivu wetu mbaya
Nyie si ndio mlikuwa mkimdiss asichukue tuzo ya BET mkiongozwa na Lema na wale madada fyatu wa Twitter..!?Let's learn from the best.. Kuwadiss waliotuzidi kimaisha haitatusaidia chochote.. Sana sana tutadhihirisha wivu wetu mbaya
Kama ni zake hakuna tatizo, tatizo ni kuangaika na vitu ambavyo sio vyako, huo ni ujinga wa mwishoNa mtu mwingine pia yuko bize kutangaza mali zake kwa watu wnegine!
Wameandika uongo mbwa hao! Wabongo hukosea sana model za magari hasa land cruisers wao wanaandikaga hard top! Hata kama ni 100 series πIle si V12 mbona hapo mnasema V8.. pia kwakua ni mlipa kodi mzuri kuingiza kwa kutumia company inamsaidia kwenye kupunguza gharama za ushuru.. hata makanisa hufanya hivyo
Kama ni zake hakuna tatizo, tatizo ni kuangaika na vitu ambavyo sio vyako, huo ni ujinga wa mwisho
Wabongo vijiba vya roho vinawatesa! Sahizi wamekimbilia kwenye Bill of Lading wanaona jina la kampuni wanashangaa! Wakati gari ya namna hio ukiagiza kwa kampuni inapewa Tax relief hasa kama ni mlipaji kodi mkubwa!Mara fake mara si yake yani vurugu tupu ππ
Wanahangaika sana hawa wafuasi wa H.mama na Mwijaku πππ siku wakielewa 45% kwenye faida ya kampuni ina nguvu kiasi gani wataacha utotoBado ana shares na WASAFI na kiasili ndio mmiliki mkuu
Hakuna ulimbukeni kwenye Mali yako, ulimbukeni ni kuangaika na Mali za watu, atangaze ili motivation ipatikane kwa wengine, ndio maana matukio ya kina mfalme selemani kuwa alikuwa Tajiri yapo mpaka leo kumbukumbu zimewekwaUjinga mwingine ni kusapoti ulimbukeni.
Wasafi Media Group sindio hio Wasafi limitedUnachanganya wasafi tv na wasafi limited
Kwa hiyo ni magumashi ya kukwepa kodiIle si V12 mbona hapo mnasema V8.. pia kwakua ni mlipa kodi mzuri kuingiza kwa kutumia company inamsaidia kwenye kupunguza gharama za ushuru.. hata makanisa hufanya hivyo
Acha kusema uongo, makanisa yana msamaa wa kodi lkn sio kwa kampuni za kibiasharaIle si V12 mbona hapo mnasema V8.. pia kwakua ni mlipa kodi mzuri kuingiza kwa kutumia company inamsaidia kwenye kupunguza gharama za ushuru.. hata makanisa hufanya hivyo
Acha uongoWabongo vijiba vya roho vinawatesa! Sahizi wamekimbilia kwenye Bill of Lading wanaona jina la kampuni wanashangaa! Wakati gari ya namna hio ukiagiza kwa kampuni inapewa Tax relief hasa kama ni mlipaji kodi mkubwa!
Upo sahihi, exemption. Nilichanganya kidogo kwa kulinganisha. Ila mfanyabiashara ambae ni mlipa kodi mzuri inakuwa nafuu sana. Maana yangu kwa kanisa, watu siku hizi wanapitishia gari za thamani kupitia huko kukwepa tozoAcha kusema uongo, makanisa yana msamaa wa kodi lkn sio kwa kampuni za kibiashara
Hapana sio kukwepa kodi, makanisa huwa yana misamaha ya kodi, unakuta waumini pendwa hupitishia huko ila hayauziki hayo magari πππ maana utalipa kodiKwa hiyo ni magumashi ya kukwepa kodi
Kuna level fulani ukifika hutegemewi ufanye magumashi kwenye kununua gari...Tulidhani Diamond ameshafika level hiyo kumbe duuuh
halafu kampuni kununua Rolls Royce kwa matumizi binafsi ya mfanyakazi ni wasteful spending and poor management..
tusije kusikia wafanyakizi wanalalamika mishahara haijalipwa au ni midogo wakati management inajinunulia magari ya kifahari...
matatizo ya ukata wa payroll yametokea IPP Media, yametokea Sahara Media, yametokea Tanzanite Press, nk nk nk na walikuwa hawanunulii mabosi ma Rolls Royce
vema angetenganisha matumizi yake na ya kampuni, washauri kama Babu Tale ni wazi hawatoshi kwa mahala alipofika Diamond