Kumbe gari ya kampuni?

Diamond anashindwa kutenganisha Matumizi ya kampuni na yake binafsi.
Kihasibu haijakaa sawa hiyo..lazima kuwe na separation.
Ila hongera zake,wengine hata Vitz tu imetushindwa kununua.
 
Diamond anashindwa kutenganisha Matumizi ya kampuni na yake binafsi.
Kihasibu haijakaa sawa hiyo..lazima kuwe na separation.
Ila hongera zake,wengine hata Vitz tu imetushindwa kununua.
Mwacheni mtu afurahie jasho lake, kama hela ipo na amependa kutumia shida nini
 
Nyie si ndio mlikuwa mkimdiss asichukue tuzo ya BET mkiongozwa na Lema na wale madada fyatu wa Twitter..!?

Imekuaje tena unaanza kulamba matapishi hata mwezi haujaisha!???
Sie kina nani? Nijibu mimi na weka na ushahidi wako! Punguza uzushi
 
Wanahangaika sana hawa wafuasi wa H.mama na Mwijaku [emoji23][emoji23][emoji23] siku wakielewa 45% kwenye faida ya kampuni ina nguvu kiasi gani wataacha utoto
Kuna haja ya kutoa somo kuhusu shares
 
Diamond anashindwa kutenganisha Matumizi ya kampuni na yake binafsi.
Kihasibu haijakaa sawa hiyo..lazima kuwe na separation.
Ila hongera zake,wengine hata Vitz tu imetushindwa kununua.
Watu wanatumia akili mkuu.

akitumia kampuni, moja kwa moja itaonekama kampuni imefanya matumizi hivyo itampunguzia kodi kwenye kampuni yake... (mfano kama iliingiza mapato ya bilioni 5, hapo toa gharama za hilo gari lililosajiliwa kwa jina la kampuni lets say labda bilioni moja, hivyo kihesabu kampuni imebakisha bilioni 4 kama mapato baada ya kutumia bilioni moja kwaajili ya gari ya kampuni)

Nitaendelea baadae.
 
Ukiwa tajiri utaonekana tu. Akina Bakhressa unawaona wakijitangaza facebook ama instagram? Unafikiri mfalme Suleiman alijitangaza social media? Nakwambia hakuwa limbukeni hivyo. Utajiri wake ulionekana na kujitangaza.
Hakuna ulimbukeni kwenye Mali yako, ulimbukeni ni kuangaika na Mali za watu, atangaze ili motivation ipatikane kwa wengine, ndio maana matukio ya kina mfalme selemani kuwa alikuwa Tajiri yapo mpaka leo kumbukumbu zimewekwa
 
Na Yule mke wa kusaga unamuweka wapi?
 
Kutoka kuwa feki hadi kuwa mali ya kampuni...

Sasa hiyo umetuwekea hapo ndio certificate of ownership ya TRA au moja ya nyaraka za shipping...?
 
Na Yule mke wa kusaga unamuweka wapi?
Yule ana shares kwny sub_company ambayo ni Wasafi Media iliyopo chini ya main company ambayo ni Wasafi Limited inayomilikiwa na Mond (80%) pamoja na mama yake (20%)

Hata wewe ukiwa na idea tuseme labda ya kuanzisha club ya mpira ukaona huezi kuchomoka pekeako kulingana na uendeshaji, publicity na mashabiki, unamfata, mnakaa mezani mnakubaliana iitwe WASAFI FC. Hiyo itakufanya ww uwe mmiliki halali wa wazo lako in terms of shares (km mama Kusaga) lakini haitakufanya mmiliki wa Wasafi Limited (kampuni mama)

Nadhani hapa utakuwa umepata mwangaza
 
Inasimamia nini hii wasafi limited
~Music Productions and distributions
~video and motion pictures productions
~talents and creators rearing
~advertisement and graphic designs
~media and content creations
~real estates
~transportations
~concert preparations
~pia pale kwny ile document kuna distributor of comptuter and other electronic equipments nadhani haijaanza
~nk nk nk

hivi ni baadhi tu ila vipo vingi kwenye ile document
 
Hivi Diamond angeweza kuleta kiwanda cha Rolls Royce Bongo akakimiliki, watu fulani si wangejinyonga kabisa?

It's just a car people. You can get one too if you hustle right and stack your paper.

It's not like he said he has invented some cold fusion technology.
 
Faida yake ni ipi ukinunua kupitia kampuni, na mm nijifunze?
kwenye makampuni kuna kitu kinaitwa corporate/ushirika, hapa mnashirikiana na kampuni kununua mali fulani. Mali yako binafsi ukiinunua kupitia mgongo wa kampuni VAT yake itapigiwa km ni asset ya kampuni, so kampuni litatozwa kodi ya jumla na sio asset husika km ungenunua kwa kutumia jina lako.! Hivo makato yanakuwa afadhali kidogo

Na kingine hautakuwa unazama mfukoni mwako directly kulilipia kodi, bali kampuni ndo litaingia kost wakati we mgao wako wa faida wa mwisho wa mwezi unakuwa safe

cha mwisho, kwa case km ya mond huwezi ukatenganisha kampuni na mali zake binafsi kwa kuwa main purpose ya kampuni ndo kazi anayoifanya yeye mwenyewe personally (entertainment company), so vitu vyake binafsi automatically vinajikuta vipo ndani ya kampuni, hvo inakuwa km mali ya kampuni
 
It's just a car people. You can get one too if you hustle right and stack your paper.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…