Kumbe GENTAMYCINE naye ni mzee wa "Hit & Run".

Cc@Davet
 
Mkuu, huo upupu wa laana ulikaririshwa na dini iliyokukuza. Period.
Laaana ina exists. Kama huamini kamtukane mama ako mzazi, kamtukane baba yako mzazi, au mlez ... wote hao watasikitika.. na mioyo ya wazizi ikiinama kuana maneno watayatamka kwako.. hayo maneno yataandamana na wewe moaka siku unakufa.

Jarib uone kama nakudanganya.
 
Nilijaribu. Nikaona yote ni ubatili.
 
Kama baba ako angekua na mawazo ya kipunguani kama yako tusingekua na member mwenye mawazo ya kitoto kama yako humu.
wewe mbona baba yako hakuwa punguani lakini leo ni single mother, baba mtoto akija hata kusalimia mtoto anaishia getini kwasababu ndani una libwana lingine..sasa wewe upo kundi gani; punguani au mwenye akili kushinda baba yako aliyekuzaa ukawa mtoto wa kike?
 
Msemaji wa genta

Umeeleweka
nawashangaa walio na mihemko ili hali mm ndio msemaji rasmi wa Genta, na nina wajibu wa kumrekebisha bosi au kuishi kwa mfano wake...sasa watu povu limewajaa hadi wanaogelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…