Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeji jamajiHalafu wanaume ndio wana hizo mambo za kukufatilia sijui tuwaelewe vipi
Kwamba mguu wa kushoto anampasia mguu wa kuliaNaona multiple ID zinajipa promo
Nimekupenda bila shuruti. Ramadhan KareemUkiona umemgegeda mwanamke ukamuacha ujue hata yeye hakutaka ukae.usijione mjanja jua hubebeki jipange
Kuna mahali nimeona amesifia kwa ID hii hii kwenye uzi huu huu sijaelewa imekuwajeKwamba mguu wa kushoto anampasia mguu wa kulia
Cc@DavetUtawa-hit wangapi?
umewahi kuhesabu tangu uzalie umekula au kwenda choonimara ngapi??
Utawa-run wangapi?
umewahi kuhesabu vipindi vya shule ulivyotoroka?
Kula kula mkuu!
kula ni lazima kuoga hiari.
Yawezekana haujapatikana, Ila siku ukiingia ktk 19 zao uta-stay tu mkuu wala hautachomoka
wewe uliepatikana una nini hadia saivi zaidi ya routine ya maisha ya kila siku??
Ooh! Jiongeze sasa [emoji23]Kuna mahali nimeona amesifia kwa ID hii hii kwenye uzi huu huu sijaelewa imekuwaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ooh! Jiongeze sasa [emoji23]
Laaana ina exists. Kama huamini kamtukane mama ako mzazi, kamtukane baba yako mzazi, au mlez ... wote hao watasikitika.. na mioyo ya wazizi ikiinama kuana maneno watayatamka kwako.. hayo maneno yataandamana na wewe moaka siku unakufa.Mkuu, huo upupu wa laana ulikaririshwa na dini iliyokukuza. Period.
Sijaona ngoja nifatilie [emoji23].. ila unanifundisha umbea ujue wewe mtoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeona lakiniiiii
Nilijaribu. Nikaona yote ni ubatili.Laaana ina exists. Kama huamini kamtukane mama ako mzazi, kamtukane baba yako mzazi, au mlez ... wote hao watasikitika.. na mioyo ya wazizi ikiinama kuana maneno watayatamka kwako.. hayo maneno yataandamana na wewe moaka siku unakufa.
Jarib uone kama nakudanganya.
mm sio muhaya.Kuna msemo wa kikwaya unasema Ama goma ganu gandi lelo ganu maruru
Nimekumention hapo juuSijaona ngoja nifatilie [emoji23].. ila unanifundisha umbea ujue wewe mtoto
wewe mbona baba yako hakuwa punguani lakini leo ni single mother, baba mtoto akija hata kusalimia mtoto anaishia getini kwasababu ndani una libwana lingine..sasa wewe upo kundi gani; punguani au mwenye akili kushinda baba yako aliyekuzaa ukawa mtoto wa kike?Kama baba ako angekua na mawazo ya kipunguani kama yako tusingekua na member mwenye mawazo ya kitoto kama yako humu.
nawashangaa walio na mihemko ili hali mm ndio msemaji rasmi wa Genta, na nina wajibu wa kumrekebisha bosi au kuishi kwa mfano wake...sasa watu povu limewajaa hadi wanaogeleaMsemaji wa genta
Umeeleweka
asante kwa kujitambua.Tangu nabalehe sijawahi kumtamkia mwanamke eti "nakupenda" nabsijui kama itakaa itokee
[emoji23][emoji23] nimeona aiseeCc@Davet
I dont think umejarib. Keep doing it , utafikia lengo.Nilijaribu. Nikaona yote ni ubatili.
Shemeji yakee shunie jamaniShemeji jamaji