Kumbe hata kwenye nchi zilizoendelea “single mothers” wako katika hali ngumu

Kumbe hata kwenye nchi zilizoendelea “single mothers” wako katika hali ngumu

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Habari za usiku.

Nilidhani changamoto ya single mothers ni hukuhuku kwetu nchi za matopeni.
Lakini kumbe nilikuwa nakosea. Hata ulaya kwa wazungu nao wanatoa maneno ya karaha, kejeli, dhihaka kwa single mothers kama ilivyo huku kwetu

Nilifikiri kwa kuwa wenzetu wako mbele kwa ustaarabu hivyo wangewastahi single mothers lakini kumbe sivyo.

Niliona wachache wanaokemea tabia hiyo ya kuwasema single mothers lakini haikufua Dafu kutokana na uchache wao.

Hii inatuambia nini?

1. Wadada ambao hamjaolewa mjichunge sana. Kama hautaki makelele ya jamii ni vizuri uwe makini. Usizae kabla ya ndoa.

2. Vijana tutumie Kinga ili kuepusha mimba zisizotarajiwa.

3. Binadamu wote ni sawasawa ingawaje hawalingani.

Jioni njema
 
Habari za usiku.

Nilidhani changamoto ya single mothers ni hukuhuku kwetu nchi za matopeni.
Lakini kumbe nilikuwa nakosea. Hata ulaya kwa wazungu nao wanatoa maneno ya karaha, kejeli, dhihaka kwa single mothers kama ilivyo huku kwetu

Nilifikiri kwa kuwa wenzetu wako mbele kwa ustaarabu hivyo wangewastahi single mothers lakini kumbe sivyo.

Niliona wachache wanaokemea tabia hiyo ya kuwasema single mothers lakini haikufua Dafu kutokana na uchache wao.

Hii inatuambia nini?

1. Wadada ambao hamjaolewa mjichunge sana. Kama hautaki makelele ya jamii ni vizuri uwe makini. Usizae kabla ya ndoa.

2. Vijana tutumie Kinga ili kuepusha mimba zisizotarajiwa.

3. Binadamu wote ni sawasawa ingawaje hawalingani.

Jioni njema
Mkuu wakati unaanza umetusalim Kwa habari za usku,umemaliza unatuambia jion njema....twende na ipi hapo?
 
Habari za usiku.

Nilidhani changamoto ya single mothers ni hukuhuku kwetu nchi za matopeni.
Lakini kumbe nilikuwa nakosea. Hata ulaya kwa wazungu nao wanatoa maneno ya karaha, kejeli, dhihaka kwa single mothers kama ilivyo huku kwetu

Nilifikiri kwa kuwa wenzetu wako mbele kwa ustaarabu hivyo wangewastahi single mothers lakini kumbe sivyo.

Niliona wachache wanaokemea tabia hiyo ya kuwasema single mothers lakini haikufua Dafu kutokana na uchache wao.

Hii inatuambia nini?

1. Wadada ambao hamjaolewa mjichunge sana. Kama hautaki makelele ya jamii ni vizuri uwe makini. Usizae kabla ya ndoa.

2. Vijana tutumie Kinga ili kuepusha mimba zisizotarajiwa.

3. Binadamu wote ni sawasawa ingawaje hawalingani.

Jioni njema
Atleast baadhi ya Nchi zinawapa msaada kwa kuwaonea huruma ila wao wenyewe sasa bado ni Majanga.

Kule Israel nilikuta walianzishiwa taasisi yao inawalipia watoto bima ya afya na kuwapa fursa za ajira za upendeleo wapate kujimudu kimaisha.

Single maza ni janga Dunia Nzima.
 
Atleast baadhi ya Nchi zinawapa msaada kwa kuwaonea huruma ila wao wenyewe sasa bado ni Majanga.

Nilienda Israel walianzishiwa taasisi yao inawalipia watoto bima ya afya na kuwapa fursa za ajira za upendeleo wapate kujimudu kimaisha.

Single maza ni janga Dunia Nzima.

Sikuwa najua kama wanaandamwa kama huku kwa kusemwa
 
Sikuwa najua kama wanaandamwa kama huku kwa kusemwa
Shida ya single maza ni ile ile hata awe Mzungu mweupe.

Ukiachana nawale waliozalishwa na wanaume vihiyo vikakimbia. Tabia za mtu kuwa single maza ni zile zile zinafanana.
1. Wanaanza starehe ktk umri mdogo hivyo hata wakiolewa hudhani maisha ni marahisi kama walivyozoea kulazwa na mabwana kwenye Five star Hotels.
2. Kujidai uzuri na kudhani kwa kuwa wanachombezwa sana hivyo wanaamini hawawezi kukosa wa kuwaoa.

3. Jeuri, kibri, ubinafsi.
4. Historia ya kuumizwa kihisia na kijinsia. Huwaweka mazingira magumu kumwamini Mwanaume yeyote.
4. Kufata mkumbo na kubeba kila wanachosikia bila kuchukua tahadhari.

5.Tamaa ya mali na kutaka wanaume wengi
 
Atleast baadhi ya Nchi zinawapa msaada kwa kuwaonea huruma ila wao wenyewe sasa bado ni Majanga.

Kule Israel nilikuta walianzishiwa taasisi yao inawalipia watoto bima ya afya na kuwapa fursa za ajira za upendeleo wapate kujimudu kimaisha.

Single maza ni janga Dunia Nzima.
Ma single mother wengine hujitengenezea wenyewe huo using legal mother
 
Back
Top Bottom