Hapana
Hii ni applicable world wide..Kumbe wanaandamwa pande zote za Dunia🤔
Nikajua huku kwetu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni applicable world wide..Kumbe wanaandamwa pande zote za Dunia🤔
Nikajua huku kwetu tu
Namba tatu inatokana na namba moja na mbili.Hii Namba Tatu,ni kwa Asilimia kubwaa saaaaaana Ndugu..
Kumbe wanaandamwa pande zote za Dunia🤔
Nikajua huku kwetu tu
Mwenyew nlipopanga pia wapo zaid ya wanneMbona hapa nilipopanga wapo wengi tu na wanaongoza kwa akujiuza.
Ukiwapima akili zao unaona kabisa wakistahili Kuwa Single mazaz
Single mothers wengi wamepitia hali za kukabiliwa na majukumu ya kukuza mtoto(watoto) bila msaada wa waliopeana mimba. Yale majukumu yanawaletea hali fulani za kujiamini na kujiona wanaweza kila kitu. Mbaya zaidi huwajengea kiburi, ubinafsi na kujiona kama waliweza kuyabeba machungu yote ya nyuma basi wewe mwanaume mpya hauna jipya la kumfanya asiweze kulibeba. Aisee hawa wanawake ni wajuaji wa kila kitu, wanaishi kiume, lakini pia hawaachi kujiona kama ni nguzo kwenye maisha ya wanae hata kama mwanaume unajitoa kwa mengi kuliko yeye. Changamoto ni nyingi zaidi ya nilizoandika hapa maana yamenikuta mengiDuuh tusimulie ilikuwaje ukaingia kingi
Nakazia hii point muhimu sana.Kiufupi ukiishi na single mother kwa miezi michache tu unapata sababu kwa nini mwanaume mwenzio yalimshinda. Hata wewe yanaweza kukushinda ukachapa raba mapema sana.
Sawa
Usukumani wapi!??.... Yaani hao ndio balaaa ..... Wapo kama wote...Usukumani hakunaga hizo ishu za single mothers
Si wote wanaojifungua wanaachwa. Jiulize kwanini yeye.Kuwa singo maza hapa JF inataka moyo. Yaani ni mashambulizi non stop utafikiri walijizalisha wenyewe. At some point hata sisi wanaume tuchukue blame kidogo jamani. Mpaka kufikia kumzalisha mtu si umeshamsoma ukaona angalau ana sifa za muhimu unazozitaka? Inakuwaje tena akishajifungua tu unalala mbele? We have to take some responsibility too guys; maana siamini kama kuna binti anayetaka kuwa singo maza by default. Something has to happen either kwa upande wake au kwa upande wa mzazi mwenzie...
Yaliyotukuta ndiyo tunajua tamu na chungu yake... Ni tamu kidogo tu ila ni chungu zaidi ya shubiri ukiingia kwenye mfumo wakeNakazia hii point muhimu sana.
Niliwahi kumuelewa singo maza mmoja ambaye sifa za nje zilinivutia sana. Nikawa nafikiria kuoa. Nikawaza kimasta, wanaotuhumu singo maza sio majinga, ngoja nimchimbe kwanza.
Nikalazimisha kukaa kwake kama siku 10 hivi. Niliyojionea ilikuwa uchafu sana. Alikuwa na kiburi akiamini mimi siwezi kupindua, kumbe nilikuwa naigiza tu. Katika mastori alifika hatua anasema hata akitaka leo mzazi mwenzie anamrudia. Nikasema huyu licha ya singo maza bado hata degree haimsaidii.
Nikakata kamba fasta.
Pengine nyuzi yake kaiandika yupo kwenye pango kuna kandiri tuMkuu wakati unaanza umetusalim Kwa habari za usku,umemaliza unatuambia jion njema....twende na ipi hapo?
LabdaPengine nyuzi yake kaiandika yupo kwenye pango kuna kandiri tu
Nimesoma tu hapa nimepata maumivu ya kichwa. Imagine kuishi na mwanamke wa namna hii, ni bora ukae na kichaa au mgonjwa wa akili ujue moja kwa moja upo na mgonjwa wa akili kuliko kudeal na mtu ambaye anajifanya mzima na kichwani zipo fyatu.Single mothers wengi wamepitia hali za kukabiliwa na majukumu ya kukuza mtoto(watoto) bila msaada wa waliopeana mimba. Yale majukumu yanawaletea hali fulani za kujiamini na kujiona wanaweza kila kitu. Mbaya zaidi huwajengea kiburi, ubinafsi na kujiona kama waliweza kuyabeba machungu yote ya nyuma basi wewe mwanaume mpya hauna jipya la kumfanya asiweze kulibeba. Aisee hawa wanawake ni wajuaji wa kila kitu, wanaishi kiume, lakini pia hawaachi kujiona kama ni nguzo kwenye maisha ya wanae hata kama mwanaume unajitoa kwa mengi kuliko yeye. Changamoto ni nyingi zaidi ya nilizoandika hapa maana yamenikuta mengi
Kiufupi ukiishi na single mother kwa miezi michache tu unapata sababu kwa nini mwanaume mwenzio yalimshinda. Hata wewe yanaweza kukushinda ukachapa raba mapema sana.
Kuwa singo maza hapa JF inataka moyo. Yaani ni mashambulizi non stop utafikiri walijizalisha wenyewe. At some point hata sisi wanaume tuchukue blame kidogo jamani. Mpaka kufikia kumzalisha mtu si umeshamsoma ukaona angalau ana sifa za muhimu unazozitaka? Inakuwaje tena akishajifungua tu unalala mbele? We have to take some responsibility too guys; maana siamini kama kuna binti anayetaka kuwa singo maza by default. Something has to happen either kwa upande wake au kwa upande wa mzazi mwen