mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
YeahMa single mother wengine hujitengenezea wenyewe huo using legal mother
Mbona hapa nilipopanga wapo wengi tu na wanaongoza kwa akujiuza.Usukumani hakunaga hizo ishu za single mothers
Shida ya single maza ni ile ile hata awe Mzungu mweupe.
Ukiachana nawale waliozalishwa na wanaume vihiyo vikakimbia. Tabia za mtu kuwa single maza ni zile zile zinafanana.
1. Wanaanza starehe ktk umri mdogo hivyo hata wakiolewa hudhani maisha ni marahisi kama walivyozoea kulazwa na mabwana kwenye Five star Hotels.
2. Kujidai uzuri na kudhani kwa kuwa wanachombezwa sana hivyo wanaamini hawawezi kukosa wa kuwaoa.
3. Jeuri, kibri, ubinafsi.
4. Historia ya kuumizwa kihisia na kijinsia. Huwaweka mazingira magumu kumwamini Mwanaume yeyote.
4. Kufata mkumbo na kubeba kila wanachosikia bila kuchukua tahadhari.
5.Tamaa ya mali na kutaka wanaume wengi
Mbona hapa nilipopanga wapo wengi tu na wanaongoza kwa akujiuza.
Ukiwapima akili zao unaona kabisa wakistahili Kuwa Single mazaz
😅 nadhani jioni njema itapendezaMkuu wakati unaanza umetusalim Kwa habari za usku,umemaliza unatuambia jion njema....twende na ipi hapo?
🤣🤣Bc twende na hiyo😅 nadhani jioni njema itapendeza
Hasa wakiwa weupeNazungumzia huko usukumani wanaoa bila kujali ni single mothers au sio
PerfectAsilimia 90 ya single mothers wanasifa ulizotaja hapo
Hiyo 10 ni wajane + waliopata wanaume wahuni wakawadanganya
Nimetoka kuachana na msukuma, nilimkuta ni single mother, nami nimeendelea na safari yangu.... Hayana fundi wala kabila haya mamboUsukumani hakunaga hizo ishu za single mothers
Duuh tusimulie ilikuwaje ukaingia kingiNimetoka kuachana na msukuma, nilimkuta ni single mother, nami nimeendelea na safari yangu.... Hayana fundi wala kabila haya mambo
😀😀😀 hayupo siriaz huyuMkuu wakati unaanza umetusalim Kwa habari za usku,umemaliza unatuambia jion njema....twende na ipi hapo?
Nimetoka kuachana na msukuma, nilimkuta ni single mother, nami nimeendelea na safari yangu.... Hayana fundi wala kabila haya mambo
Kazi kweli kweli
Mimi nilishampiga chini demu asubuhi tu baada ya kulala nae usiku wa kwanza na kuniambia yeye ni single mother, honestly i can't accept this shit.
Hii Namba Tatu,ni kwa Asilimia kubwaa saaaaaana Ndugu..Shida ya single maza ni ile ile hata awe Mzungu mweupe.
Ukiachana nawale waliozalishwa na wanaume vihiyo vikakimbia. Tabia za mtu kuwa single maza ni zile zile zinafanana.
1. Wanaanza starehe ktk umri mdogo hivyo hata wakiolewa hudhani maisha ni marahisi kama walivyozoea kulazwa na mabwana kwenye Five star Hotels.
2. Kujidai uzuri na kudhani kwa kuwa wanachombezwa sana hivyo wanaamini hawawezi kukosa wa kuwaoa.
3. Jeuri, kibri, ubinafsi.
4. Historia ya kuumizwa kihisia na kijinsia. Huwaweka mazingira magumu kumwamini Mwanaume yeyote.
4. Kufata mkumbo na kubeba kila wanachosikia bila kuchukua tahadhari.
5.Tamaa ya mali na kutaka wanaume wengi