Halima ni CÇM
Mbona hawa wameanza kufanana ama macho yangu yana makengeza
Balaa tupuMbona hawa wameanza kufanana ama macho yangu yana makengeza
Daaah aisee Kipigo cha Mungu Kiko palepale
Sharifa anatosha, angalau pawe na muislam 1 ktk safu ya juu ya chama
View: https://youtu.be/3F8yBt6lrOY?si=stTHOPf0ioqfr114
Huyu dada ndio mtu pekee anaweza kuziba pengo la Halima Mdee pale BAWACHA.
CHADEMA itumieni vizuri hii tunu mliyopewa na Mungu, Dada anaujasiri kama wa Simba na amenyooka kama Lissu
Tofauti ya Mdee na Simba ni majina tu hakika CHADEMA inahazina kubwa.
Siasa ni hesabu alitakiwa kutangaza na yeye kumuunga mkono LissuSharifa anatosha, angalau pawe na muislam 1 ktk safu ya juu ya chama
Nani kashinda kwa sababu ya kumuunga mkono lissu?Siasa ni hesabu alitakiwa kutangaza na yeye kumuunga mkono Lissu
huwa wanandoa wakizeeka pamoja hufananaMbona hawa wameanza kufanana ama macho yangu yana makengeza
MahinyilaNani kashinda kwa sababu ya kumuunga mkono lissu?
Kumbe?huwa wanandoa wakizeeka pamoja hufanana
Yule jamaa kwa alieshindana ni mwepesi kihoja na cv yake kubwa tofauti na yule. Nimewasikiliza wote ..mmoja muuza matunda mmoja mwanasheria. Tungojee lissu agaragazwe chadema 21 halafu uje tenaMahinyila
Kwa hiyo mtu achaguliwe kisa dini yake na si uwezo wake?Sharifa anatosha, angalau pawe na muislam 1 ktk safu ya juu ya chama
Unfortunately chama alicho hajitambui umuhimu na nafasi ya mwanamke na ndio maana watu kama.kina Heche wanawabeza.
View: https://youtu.be/3F8yBt6lrOY?si=stTHOPf0ioqfr114
Huyu dada ndio mtu pekee anaweza kuziba pengo la Halima Mdee pale BAWACHA.
CHADEMA itumieni vizuri hii tunu mliyopewa na Mungu, Dada anaujasiri kama wa Simba na amenyooka kama Lissu
Tofauti ya Mdee na Simba ni majina tu hakika CHADEMA inahazina kubwa.
Mmoja kama ana ngoma.Mbona hawa wameanza kufanana ama macho yangu yana makengeza
Huyu dada ni machine balaa I know her
View: https://youtu.be/3F8yBt6lrOY?si=stTHOPf0ioqfr114
Huyu dada ndio mtu pekee anaweza kuziba pengo la Halima Mdee pale BAWACHA.
CHADEMA itumieni vizuri hii tunu mliyopewa na Mungu, Dada anaujasiri kama wa Simba na amenyooka kama Lissu
Tofauti ya Mdee na Simba ni majina tu hakika CHADEMA inahazina kubwa.
NdioDada namkubali sana aisee