Kumbe hii timu ilishawahi kupigwa na Namungo bao 6?

Kumbe hii timu ilishawahi kupigwa na Namungo bao 6?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ushahidi huu hapa.

FB_IMG_1665343280966.jpg


Sina lengo la kupuuza ushindi wa Simba ila nimeweka tu angalizo, tusije tukafikiri kuingia makundi ndiyo tumemaliza, kumbe njia tuliyopita ni mdebwedo tu.
 
Waleteee! Niliona nikilianzisha hili, wana Simba watakereka. Wacha washeherekee bwana...
Leo navuta fegi yangu bila kumkera mtu.
 
Mazingira tofauti kipindi kile ushindi huo ulichangiwa na vitu vingi

Kwanza Namungo alipata zari kama lililomkuta Yanga kwa Zalan kucheza mechi zote Tanzania

Pamoja na hayo yote bado Namungo alifanya figisu za kuwatoa wachezaji muhimu na tegemezi zaidi ya watano wa Agosto kwa kigezo cha Corona

Hawa ndio mabingwa wa ligi yao ambayo ni kubwa kuliko yetu, ukiachana na hiyo kumbuka katika mechi 7 za mwisho hawajapoteza

Kama mnawaona hawa ni vibonde basi subirieni waangukie Confederation halafu na nyie mkakutane nao mtaona kama mtapata mseleleko
 
Simba Ina experience na hii michuano imeingia uwanjani kwa heshima na nidhamu, imecheza mpira muda wote kwa tahadhali ya hali ya juu kuhakikisha hawafanyi makosa ambayo yataweza kuwagharimu.

Nyinyi kumfunga Zalan tu mkajiona mshakuwa wakubwa na afisa habari wenu akasuka na kampeni ya kuwaaminisha mashabiki kuwa Al Hilal ni timu ndogo kwa Yanga

Eti tutawapiga kama ngoma na mechi tunaimaliza hapa hapa kwa mkapa afu kule tunaenda kupanda ngamia

Wakati wapinzani wenu kwenye touches zao za mwqnzo zilionesha wamewaheshimu na wanacheza kwa tahadhali nyie mkawa mnajitawala as if tayari mnaongoza goli 5 bila.

Makosa kama hayo tuliyafanya Simba kwa Jwaneng Galaxy na Kaizer Chiefs kuanzia hapo tumejifunza.

Pengine na nyie mnahitaji kufanya makosa kama haya ili myatumie kujirekebisha kwasababu wanasema makosa ndio mwalimu bora
 
Ushahidi huu hapa

View attachment 2382093

Sina lengo la kupuuza ushindi wa Simba ila nimeweka tu angalizo , tusije tukafikiri kuingia makundi ndio tumemaliza , kumbe njia tuliyopita ni mdebwedo tu .
Namungo,huyu Usimtaje kbs. Kule CAF anazo pointi nyingi kuliko sisi Yanga...!

Sisi tukomae na Al hilal uko kwao...!
Kama vipi tuwaombe Simba Zile Dawa Zao Wanazo wapuliziaga vyumbani twende nazo Sudan..!

Nawaza tu.!
 
Mambumbumbu wenzangu toka MAKOLOKOLO FC chonde chonde tusijisahau sana maana mwisho wa safari yetu hauko mbali sana [emoji28]
 
Ushahidi huu hapa.

View attachment 2382093

Sina lengo la kupuuza ushindi wa Simba ila nimeweka tu angalizo, tusije tukafikiri kuingia makundi ndiyo tumemaliza, kumbe njia tuliyopita ni mdebwedo tu.
Ni kweli walipigwa 6 ila kumbuka wachezaji wao tegemezi wengi walikutwa na covid na pia kumbuka michezo yote miwili ilichezewa Chamanzi complex na mechi ya pili Namungo alipasuliwa
 
Wachezaji wao nane hawakucheza hiyo mechi. Walionekana wana Covidi+
Nyie endeleeni kubaki na takwimu.

Wekeni na ile ya Simba kupigwa 5 Congo na 5 Misri.
Hiyo ndio kazi yenu.
 
Mazingira tofauti kipindi kile ushindi huo ulichangiwa na vitu vingi

Kwanza Namungo alipata zari kama lililomkuta Yanga kwa Zalan kucheza mechi zote Tanzania

Pamoja na hayo yote bado Namungo alifanya figisu za kuwatoa wachezaji muhimu na tegemezi zaidi ya watano wa Agosto kwa kigezo cha Corona

Hawa ndio mabingwa wa ligi yao ambayo ni kubwa kuliko yetu, ukiachana na hiyo kumbuka katika mechi 7 za mwisho hawajapoteza

Kama mnawaona hawa ni vibonde basi subirieni waangukie Confederation halafu na nyie mkakutane nao mtaona kama mtapata mseleleko
Mabigwa wa ligi nchi gani? Maana bigwa wa Angola ni Petro Luanda.
 
Hakuna angalizo lolote la maana hapo. Bora ungeleta angalizo la kuionya Simba kuwa mechi bado haijaisha kuliko kuidharau de Agosto, mnaonekana mashabiki maandazi.

Hakuna faida yoyote Kwa timu kutumia energy kubwa kuingia makundi kuliko kutumia energy ndogo. Hakuna timu hapa duniani inayopenda kupangiwa mpinzani bora maana kinachomatter ni nini umeachieve na sio nani umemtoa.
 
Back
Top Bottom