Vedastus Maneno
New Member
- Dec 10, 2023
- 1
- 0
Huyo wa pili nae ni nani?! Mstaafu au bado yupo ofisini?!Wazungu wamelipwa chao ( Deni ) na Mwafrika mwenzetu kaachiwa na sasa kwa Madeni yao yajayo Wanamvizia Mwafrika mwenzetu mwingine na wa safari hii atakuwa ni Muislamu na huyu nae kwakuwa ni Mbishi wa kulipa Madeni yao ila ni Mfujaji mzuri wa Fedha zao hawatomshikilia kwa Siku 30 kama Mwenzake Mkristo badala yake wanaweza wakakaa nae hata kwa Siku 90 hivi.