Huyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Huyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Ukiona unaombwa uthibitisho wa kitu jua watu hawakuamini yani unaishi kiuongo uongo ndo maana unakua uhaminiki,.Huyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Sasa utafanya nini wakati haters wamempa unataka akashtaki.Sasa chombo cha serikali chenyewe TCRA kinasema Diamond anamiliki 45% mnabisha sasa unataka Diamond afanye nn wakati ww mwenyewe umeamua kubisha kwa makusudi.Kumbe jina la Sadala limepita?
Sasa huyo mbona hamja muomba.Ukiona unaombwa uthibitisho wa kitu jua watu hawakuamini yani unaishi kiuongo uongo ndo maana unakua uhaminiki,.
Jux hajaombwa hivyo kwa sababu anaishi maisha yake harisi si ya uongo uongo
Tulieni dawa iwaingie
Soma coment yangu imejibu hili swali lakoSasa huyo mbona hamja muomba
Sasa wewe unaushahidi wowote usio na shaka wa kiserikali unathibitisha hizo mali ni za Jux.Soma coment yangu imejibu hili swali lako
Kwa sababu hajawai kuuongopea uma na hana shutuma za uongo uongo naamini kua mali ni zake,.Sasa wewe unaushahidi wowote usio na shaka wa kiserikali unathibitisha hizo mali ni za Jux.
Au ndio umeamua kuamini sababu ni Jux tu.
Mkuu umeongea kwa hisia kali saaaana π πHuyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Huwezi nyamazisha watu kabisa.Huyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Ni kitendawili.Maisha ni nini ?
Kwa hiyo ndio sababu yako, kwa hiyo hata PNC au K2ga akisema ana miliki Maybach utaamini sababu hawajawahi kusema uongo?Kwa sababu hajawai kuuongopea uma na hana shutuma za uongo uongo naamini kua mali ni zake,.
Ila kwa Sadala ni lazima wakimwengu waombe uthibitisho, yero masai ni muongo muongo sana mzee wa kik
Sio kwa hisia ila ndio ukweli wenyewe.Mkuu umeongea kwa hisia kali saaaana π π
Kweli huwezi kumzuia mtu kuongea.Huwezi nyamazisha watu kabisa.
Ila muombe kabla hujajibu ili tuamini zaidiSoma coment yangu imejibu hili swali lako