Kumbe Juma Jux kimaisha kamzidi Diamond Platnumz?

Kumbe Juma Jux kimaisha kamzidi Diamond Platnumz?

View attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.

Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.

View attachment 1834573
Jux bado anapewa hela ya kununua boxer (chupi) na wazazi wake, bado sana huyo...
 
Huyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.

Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Unavyotetea...Hv anakupaga nn??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa hiyo ndio sababu yako, kwa hiyo hata PNC au K2ga akisema ana miliki Maybach utaamini sababu hawajawahi kusema uongo?


Haya basi tufanye Sadala muongo (ngoja nikurizishe) vipi na TCRA kusema Sadala ana miliki 45% Wasafi Media nayo ni uongo...........?
View attachment 1834634
Mbona una hama hama mada, Mimi sijaongelea habari za media wala Tcra, rejea coment zangu, mi nipo kwenye mandinga na mijumba na kutoa misaada kwa watu jamaa ni muongo sana kwenye nyanja hizo


Ila sikushangai uwa unatafuta kakicha kakujificha, Swala la umiliki wa wasafi linajulikana na hizo mada tulishamalizana nazo sa sijui kwanin wew umelikomalia hilo
 
Mbona una hama hama mada, Mimi sijaongelea habari za media wala Tcra, rejea coment zangu, mi nipo kwenye mandinga na mijumba na kutoa misaada kwa watu jamaa ni muongo sana kwenye nyanja hizo


Ila sikushangai uwa unatafuta kakicha kakujificha, Swala la umiliki wa wasafi linajulikana na hizo mada tulishamalizana nazo sa sijui kwanin wew umelikomalia hilo
Sasa hayo mandinga na magari si ananunua kupitia faida ya hisa zake ,bado show, deals mauzo huko digital platforms.

Wewe hata ukibisha, ubishi wako haumzuii Sadala kumiliki nyumba na magari cha msingi endelea kubisha huku Sadala anaingiza mpunga.
 
Ukiona unaombwa uthibitisho wa kitu jua watu hawakuamini yani unaishi kiuongo uongo ndo maana unakua uhaminiki,.

Jux hajaombwa hivyo kwa sababu anaishi maisha yake harisi si ya uongo uongo

Tulieni dawa iwaingie
Not neccessarily.. Wakati mwingine upenzi hupelekea mtu kuomba au kutokuomba ushahidi... Na wakati mwingine imani yako ndo au kukosa kwako taarifa hukufanya uone kila kitu ni uongo
 
View attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.

Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.

View attachment 1834573
Mbona hii nyumba kapanga yeye na Kamikaze 🙄
 
Back
Top Bottom