Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Mwenye picha ya nyumba ya Diamond aweke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Sawa tumekuelewa Romy JonsHuyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Ndio kuwa na share kuna mfanya kuwa tajiri na sehemu ya mmiliki wa Wasafi.Kua na share hizo wasafi media ndo sababu inayomfanya awe tajiri? Tangu lini wasafi media ikawa tajiri..ile ni media mpya sana bado inajikongoja..ukisema utajiri wa diamond kwa sasa ondoa kitu kinachoitwa wasafi media..
Asante Mtaji GGG..........G.Sawa tumekuelewa Romy Jons
Kuna jamaa alimwambia mwenzake kwamba napenda sana THREE PIECE!!7 series BMW boss.
Bado Sana hamfikii hamis Mandi na Ile bont shine yakeJux anauza sana brand zake za nguo
Inafanana na maybachView attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.
Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.
View attachment 1834573
Daah umeumia sana mdau maana si kwa coment hiiHuyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Maumivu umeyapima kwa nini?Daah umeumia sana mdau maana si kwa coment hii
Huyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Basi kaangalie shares za kampuni BRELA imepostiwa huko insta uone sharesSource ya habar kutoka TCRA iko wap au ndio mtandale anaiendeleza utandale wake
Madale...mwenye picha ya nyumba ya diamond aweke
Mecheka sana aiseeWasanii MIJENGO yao wanajengea Instagram na Facebook ukija mitaani hauyaoni hayo MAJENGO YAO.
Umetaka ushahidi umepewa unaanza kuuliza kama ametengenezaIzi picha tu mkuu au nikutengenezee na mimi namiliki hisa 90% wasaf?
Wako kazini wenzako,wanepewa PC na simu bando wanawekewa kazi yao ni KUMSIFIA TU Diamond,Unavyotetea...Hv anakupaga nn??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila hasemi😀😀😀kiba pia benz anayo.
Umeamua tu kuwa.mbishiIzi picha tu mkuu au nikutengenezee na mimi namiliki hisa 90% wasaf?
Kama alitaka kukuuzia SILAHA basi jua huyu dogo magendo mengi sana.Huyu dogo kaanza kupambana mda sana kunikipindi alikuwa ataka kuniuzia silaha yeye na mwenzake shetta ni vizuri kuona wamefanikiwa kwa namna yoyote. Wasiwasi wangu ni kwenye kutoa maelezo ya sources za hizo mali.