Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me hua naishia kucheka tu, mtu anasema diamond hajui kuimba ukimwambia yye aimbe sijui itakuaje, Diamond anapenda sifa !! Ukijiuliza kwani kwenye usanii hakuna kujigamba(majigambo).Kweli huwezi kumzuia mtu kuongea.
Ukweli moyoni wanaujua ila utawafanyaje wakati wao wenyewe wameamua kwa makusudi kumchukia.Me hua naishia kucheka tu, mtu anasema diamond hajui kuimba ukimwambia yye aimbe sijui itakuaje, Diamond anapenda sifa !! Ukijiuliza kwani kwenye usanii hakuna kujigamba(majigambo).
Inshort hawaelewi Sanaa na Usanii, kingine ni chuki.
Source ya habar kutoka TCRA iko wap au ndio mtandale anaiendeleza utandale wakeSasa utafanya nini wakati haters wamempa unataka akashtaki.Sasa chombo cha serikali chenyewe TCRA kinasema Diamond anamiliki 45% mnabisha sasa unataka Diamond afanye wakati ww mwenyewe umeamua kubisha kwa makusudi.
Haya TCRA nao wanamtetea Sadala,au labda TCRA nao WATANDALE.Source ya habar kutoka TCRA iko wap au ndio mtandale anaiendeleza utandale wake
Izi picha tu mkuu au nikutengenezee na mimi namiliki hisa 90% wasaf?Haya TCRA nao wanamtetea Sadala.
View attachment 1834640
Nyie si mmeamua kubisha haya gazeti hilo Mwananchi .Izi picha tu mkuu au nikutengenezee na mimi namiliki hisa 90% wasaf?
Domo mwongo Sana 😂😂😂haaminiki ndomana hata baba yke hajulikani😂Kwa sababu hajawai kuuongopea uma na hana shutuma za uongo uongo naamini kua mali ni zake,.
Ila kwa Sadala ni lazima wakimwengu waombe uthibitisho, yero masai ni muongo muongo sana mzee wa kik
Huyu dogo kaanza kupambana mda sana kunikipindi alikuwa ataka kuniuzia silaha yeye na mwenzake shetta ni vizuri kuona wamefanikiwa kwa namna yoyote. Wasiwasi wangu ni kwenye kutoa maelezo ya sources za hizo mali.View attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.
Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.
View attachment 1834573
Diamond kale kasimu sijui alipewa na mganga maana anauwezo wa kubadilisha S20 hata mala 100 kwa mwakaJamaa ana 7 series yake imechoka kishenzi.
Maisha ya kwny mitandao ni shida Sana.
7 series BMW boss.Diamond kale kasimu sijui alipewa na mganga maana anauwezo wa kubadilisha S20 hata mala 100 kwa mwaka
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ok nilijua kale kasimu kadiamond7 series BMW boss.
Mzee hii document uliisave kwenye gallery yako uje uwazodoe watu sio[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787]?Haya TCRA nao wanamtetea Sadala,au labda TCRA nao WATANDALE.
View attachment 1834640
Mbona nimeotoa mtandaoni ipoMzee hii document uliisave kwenye gallery yako uje uwazodoe watu sio[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787]?
Sasa hii mbona ni nyumba ya kawaida!View attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.
Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.
View attachment 1834573
Ndio uelewe sio wote wanapata hio bahatiKupakatwa kungekuwa kunalipa hivi mashoga yote town tungeyaona..
Unaweza kuta ndio Sadala mwenyewe anajitetea 🤣🤣Mkuu umeongea kwa hisia kali saaaana 🙂 🙂
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huenda kweliUnaweza kuta ndio Sadala mwenyewe anajitetea [emoji1787][emoji1787]