Kumbe Juma Jux kimaisha kamzidi Diamond Platnumz?

Kumbe Juma Jux kimaisha kamzidi Diamond Platnumz?

Me hua naishia kucheka tu, mtu anasema diamond hajui kuimba ukimwambia yye aimbe sijui itakuaje, Diamond anapenda sifa !! Ukijiuliza kwani kwenye usanii hakuna kujigamba(majigambo).

Inshort hawaelewi Sanaa na Usanii, kingine ni chuki.
Ukweli moyoni wanaujua ila utawafanyaje wakati wao wenyewe wameamua kwa makusudi kumchukia.
 
Source ya habar kutoka TCRA iko wap au ndio mtandale anaiendeleza utandale wake
Haya TCRA nao wanamtetea Sadala,au labda TCRA nao WATANDALE.
images (5).jpeg
 
View attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.

Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.

View attachment 1834573
Huyu dogo kaanza kupambana mda sana kunikipindi alikuwa ataka kuniuzia silaha yeye na mwenzake shetta ni vizuri kuona wamefanikiwa kwa namna yoyote. Wasiwasi wangu ni kwenye kutoa maelezo ya sources za hizo mali.
 
View attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.

Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.

View attachment 1834573
Sasa hii mbona ni nyumba ya kawaida!
Na BMW hizi,zakawaida sana,
Mi nilitegemea Kuna vogue hapo,harafu huyu ametoa ajira kiasi gani,analipa Kodi kiasi gani,PAYE kiasi gani?
Mie shughuri zangu ni kilimo,na ninamiriki mjengo zaidi ya huu,
Na nje nimepaki V8,na cruizer mkonga!
 
Kupakatwa kungekuwa kunalipa hivi mashoga yote town tungeyaona..
Ndio uelewe sio wote wanapata hio bahati

Hata wanawake kuna wanaojengewa na wengi pamoja na sura zao kali wanaishia kudanga tu.

Sijui background ya huyo dogo ila kama ni mziki pekee basi hizo mali hamiliki 100% labda kama kuna shareholders wengine
 
Back
Top Bottom