Kumbe Kenya pamoja na kujidai koote na shirika lao la ndege walidhulumu ndege za EAC

nindege mbili zilizotoroshwa na marubani wa tanzania siyo moja kuna watu wanalaumu Tanzania kukwamisha east afrika kiukweli Tanzania bado wanakumbuka Kenya alivyotufanyia ndio maana mikataba mingi wanaipitia kwa tahadhali Wakenya ni manyang'au
 
naona na wEwe umeaminishwa kila nyumbu ana vuka MTO, kila nyumbu ana patikana katika maeneo yenye mito...

Avatar yako ni tosha kujua wewe ni mtu wa aina gani na uwezo wako wa kujadili mada kama hizi umefikia kiasi gani...
 
Hata biashara hatutaki kufanya na ninyi, sisi ndugu zetu wa damu ni SADC countries, tulisaidiana wakati wa matatizo, ninyi hamkuwepo.
 
Avatar yako ni tosha kujua wewe ni mtu wa aina gani na uwezo wako wa kujadili mada kama hizi umefikia kiasi gani...
kama picha tu INA weza kukufanya kumfahamu MTU basi utakuwa una matatizo, asilimia mia...
 
Hahahaha, EAC iliundwa 1967, wakati Tanganyika na Zanzibar ziliungana 1964 na kuzaluwa Tanzania, vipi unasema EAC iliundwa na nchi NNE, hizi bhangi umevuta SAA ngapi Leo?
N.B: E.A.A.= East African Airways. E.A.C. nayo ndio East African Community. Very simple. Soma tena taarifa ya mada na comment zote kisha ukishafahamu kinachojadiliwa humu urejee upya. Shukran.
 
N.B: E.A.A.= East African Airways. E.A.C. nayo ndio East African Community. Very simple. Soma tena taarifa ya mada na comment zote kisha ukishafahamu kinachojadiliwa humu urejee upya. Shukran.
Huwa ninakuwa na mashaka sana na ufahamu wa wakenya wengi humu JF. Tofautisha na EAC iliyoundwa na hizi nchi zikuwa huru 1967, ambapo ndio haya mashirika yaliundwa upya, yaani east Africa Airways ya EAC, na ile East Africa ya mkoloni ambayo wewe ndio unayozungumzia. Ile ilikua ni chini ya muengereza, Tanganyika tulipopata Uhuru 1961, hatukuwa sehemu ya East Africa airways hiyo unayozungumzia wewe, hivyo hivyo Uganda ilipopata Uhuru ilitoka, hatimae Kenya ilipopata Uhuru 1963 ikabaki na ndege zote zilizokua chini ya East Africa airways ya mkoloni kwasababu ilikua nchi ya mwisho kupata Uhuru.

Mwaka 1967 wakati nchi zote zimepata Uhuru zikaamua kuungana na kuanzisha mashirika upya kabisa, ndipo East Africa airways ikaanzisha upya na kila nchi kuchangia sawa, na ndege zilinunuliwa upya na kama nchi ilikua na ndege zake zilinunuluwa na EAC hii mpya.
 
Ehee! Hadithi njoo .....ungemalizia na kusema walahi ingependeza zaidi.
 
Hahahhh
 
Pedestrian reasoning, denying facts to withhold a subjective thinking to sooth blind patriotism., watanzania ni lini mtafungua macho?, mnachosha!
 
Wakenya wengi huwa hamna akili, watu wenye akili kama David Ndii mnawadharau, sasa ukusema Kenya ilibaki na ndege nyingi kwasababu ilichangia zaidi katika kuanzishwa kwa East Africa airways, kwanini usikubali kwamba Tanzania ilichangia zaidi katika kujenga majengo Ya East Africa HQ pale Arusha ndio sababu ilibaki na Yale majengo yote?, acheni kufikiria kwa kutumia makamasi badala ya ubongo.
Pedestrian reasoning, denying facts to withhold a subjective thinking to sooth blind patriotism., watanzania ni lini mtafungua macho?, mnachosha!
 
Ukiwa unachangia JF, lazima uwe umejiandaa, hapa sio Kenya talk.
Kweli kabisa, ndio maana nimejiandaa sawa sawa kupuuzilia mbali pumba zako na kukuelimisha. East African Airways sio East African Community, naona umeelewa hilo na sasa unafahamu kinachojadiliwa hapa. Tunangoja ushahidi wa porojo zako kwamba baada ya 1967 E.A.C. ilinunua upya ndege zote za E.A. Airways na kwamba umiliki wa E.A.A. ulibadilika na muungano mpya wa Tz ukamiliki zaidi ya hiyo 9%(Tanganyika) na 0.7%(Znz.).
 
Uwanja mkuu uliotumika na ndege zote za E.A.Airways ulikuwa pale Eastleigh, Nairobi na baadaye Embakasi na Wilson Airport, Nairobi. Hiyo HQ Arusha sijui ilikuwa ya kufanya nini kwasababu kati ya wafanyikazi 5,000 wa E.A.A. 3,000 walikuwa wakenya. Hizi zinaitwa FACTS.
 

Naomba nikuulize swali la kizushi... East Africa ilikuwa baina ya nchi ngapi? Ukishatoa jibu ndipo utakapopingana na huyu mheshimiwa
 
Hata biashara hatutaki kufanya na ninyi, sisi ndugu zetu wa damu ni SADC countries, tulisaidiana wakati wa matatizo, ninyi hamkuwepo.
Hata huko SADC nyie ndio MNA masikini wengi yani nyie ni kama kisiwa cha umasikini hapa Afrika bila kusahau dumping ground ya vifaa vya SADC....mumekuwa kama mal##a ambaye anat##bwa bila malipo. Sorry to say so.
 
M Unaishia kusema fanyeni utafiti si ajabu hata wewe huña data ungeweka utafiti ulioufanya ungesomeka sio unaishia kuongea ongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…