Kwamba hawawezi kufanya hadharani?Zinaweza kushindwa kuendana na mazingira sio kushindwa unakofikiria wewe. Coz hawawez kufanya hadharan itawabid kwa kificho na ndio hapo unakutana na komandoo.
Kweli mkuu fitina, IPO kampuni ya ulinzi Nguvu moja wakuu wake Ni waastaafu wa vitengo nyeti inalinda migodi ya Barrick nk, kipaumbele ajira vijana toka JKT.Kwa kosa gani? X soldiers ndio wamejaa kwenye makampuni binafai ya ulinzi na hata ya kukodi huko ulimwenguni. Licha ya hapo hapa tanzania tu sio kosa. Na watu wengi wanafanya hivyo. Tunashangaa kwa nini kwa Mbowe tu??
Shangaaa na wewe makomandoo wenyewe walikamatwa tena na Polisi tu. Alaf hapo hapo kwamba walishindwa kumfikia lisu sababu analindwa na makomandoo wakati makomandoo wenyew walishikwa kama kuku. Ushabiki unaondoa uwezo wa kufikiriTufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?
Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..
Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Unajua kwa nini walishindwa? walitaka kumpiga hadharani ili wasionekane. Ndio sababu ya kukurukakara zile za kushindwaKwamba hawawezi kufanya hadharani?
Lissu alipigwa risasi usiku vichochoroni?
Hata wakipiga risasi mchana wa saa 7 hadharani wewe utafanyaje?
Unajua raia yeyote hatakiwi kuresist arrest?Ulitaka wapigane na Polisi wakati wa ukamataji wao?Tumieni akili,hao ni raia wema na ndio maana wakaheshimu amri ya Polisi ya kuwaweka chini ya ulinzi!Shangaaa na wewe makomandoo wenyewe walikamatwa tena na Polisi tu. Alaf hapo hapo kwamba walishindwa kumfikia lisu sababu analindwa na makomandoo wakati makomandoo wenyew walishikwa kama kuku. Ushabiki unaondoa uwezo wa kufikiri
Walishindwa kufanyaje?Unajua kwa nini walishindwa? walitaka kumpiga hadharani ili wasionekane. Ndio sababu ya kukurukakara zile za kushindwa
Itabidi nyie watu wa Mbozi mashariki mtupe mwongozoNguo ya mwisho ni ipi ?😂😂😂😂
Unfortunately huko hamna moto zaidi ya mwili kurudia mavumbi!! And it can be proven ..kama wangekuwa wanachomwa basi watu wasingekuwa wanakuta mifupa after thousands of years. Moto Gani huo unashindwa mifupa??..mnaaminishwa nonsense na nyie mnaamini. Soma uongeze maarifa. There's no such thing as moto huko kaburini. Na wala hakuna transition. Kwamba Kuna sehemu huwa wanaenda. Hata Yesu alikufa mpaka alipofufuka. He didn't go anywhere.Ndio maana namchukia sana Magufuli, huyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.
Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.
JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
Mkuu wangu,Ila tarehe 24july walikuwa morogoro bado hata hawajamjua mbowe, yaan mnafanya watu kilaza kabisa, kwa hiyo walitoka kwa urio moja kwa moja wakaenda kinda lissu! Kwa hiyo tarehe 5 august walikuwa wanakula starehe Rau na Lissu alikuwa Rau pia wakiwa wanamlinda pia! Kwel nyumbu ni nyumbu tuu
Hakuna kesi hapoKwa uhakika gani? Mbowe alituma laki tano ya nauli tarehe 20 July. Baada ya hapo wakaenda Moshi kumfuata Mbowe,
Most likely Mbowe akaja nao Dar kumpokea Lissu tarehe 27 July.
Hivi wengine mnasoma case ipi?
Iyo nchi ni Korea ya kaskaziniUongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Leo kumepambazuka zaidiKukichwa kutapambazuka
Hao hao aiseeMakomandoo hao hao waliokamatwa na kina Mahita au kuna wengine?
Sifa na utukufu kwa Mungu.Walishindwa kufanyaje?
Yule ana Mungu wake tu na ndio maana hakufa. Lakini Ni ngumu kupona kwa risasi zile.
Akwilini alipigwa risasi ngapi?
Mbona unakuwa mjinga sana?
SUBHANALLAH.....Inna lillah wainah illahi rajiun,Sikujui ila nakutahadharisha sana wewe usije ukafikia hali iyo kuja kumuua mwaandamu mwenzako,Sie wanaadamu hatuna haki ya kumuua wala kumtesa kiumbe yeyote yule,madaraka ama cheo chako kisije kikakutia kiburi....Kwa imani yangu tu inaniambia mdudu sisimizi tu sitakiwi kumuua wala kumtesa sembuse mwanaadamu,Kumbuka kuna aliyetuumba atatuhukumu kutokana na makosa tuliyoyatenda,Kumbuka kila kiumbe hapa duniani kinamtegemea yeye,wewe kwa macho yako unawaona hao makomandoo hawafai kuishi ila ndio Muumba ameshawaumba,wewe ama wao siku yao ikifika kila mtu atakufa kwa ahadi yake Muumba na sio wewe,umekufuru sana kijana mwenzangu,fanya toba neno ulilolitamka ni baya sana mbele ya MUUMBALazima wafungwe au wapigwe slow poison, wamedhihirisha wao ni hatari kwa usalama
Wacha wajinga waliwazane, huku mwenzao akitetea roho yake Muhimbili wao hawana habari.Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?
Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..
Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Una upungufu wa kufikiri. Kwani zile risasi alizopigwa zilikuwa ndani ya siasa?Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?
Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..
Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Haluna hata picha?Aisee kumbe usione vyaelea vimeundwa. Hii inatupa picha gani nyie wataalam
Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.
Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.
Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.
Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?