njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #21
dubwasha lile habari ya mjini siku nyingi sana matendo yake kama li mnyama la porini halifananii na ubinadamu hata kidogo, linashangza sana na halitaacha kushangazaManara na Yanga ndio habari ya town kwa sasa au vp maana nyuzi zao zimezidi
Kweli manara si kuku wa kizunguKwenye hii issue sina uhakika wowote kwahiyo naiacha inipite kushoto tu, ila ningependa kuongelea issue ya nguvu ya Manara ndani ya Yanga
Ukiangalia Kwa makini na tukiacha huu unafki wa usimba na uyanga utagundua kuwa ni kweli Haji ana nguvu Fulani ndani ya Yanga
Tukianza kwa kutazama sababu ya kuondoka Antonio Nugazi na kuja Haji Manara, Kwa Akili ya kawaida tu sidhani kama kuna mwana Yanga ambae alifurahia kufukuzwa Kwa Nugazi na kuletwa Manara
Tukija kwenye issue ya Manara kufahamika kama Afisa muhamasishaji ila cha ajabu anakuwa na nguvu/mamlaka makubwa kuliko Afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli
Hadi hapa tulipofikia ni wazi kuwa Hassan Bumbuli sio Afisa habari tena, kwahiyo hajulikani ana cheo gani tena pale Yanga ila sio ajabu kama atakuwa kashatemwa jumla ili kutengeneza mazingira ya nafasi yake kupewa Manara moja Kwa moja
Ukiangalia issue ya Manara kwenda kwenye tamasha la siku ya wanachi ni wazi kuwa Hilo wazo haliwezi kuwa la Raisi wa club bwana Hersi, bali lazima litakuwa ni wazo la Haji na Raisi akawa hana budi kukataa, Manara ni mtu ambae anapenda sana tabia ya kutunishiana misuri hivo alikuwa anaijaribu TFF kwa pride yake mwenyewe na sio Yanga
Issue ya Yanga kutangaza official kuwa wameingiza mapato mengi kwenye siku ya wanachi kuliko Simba day, hili limekuja baada ya kuona Simba imejaza uwanja sasa ili kuondoa hilo Haji akatafuta justification
Haji majuzi kupitia account yake ya Instagram ndio alienzisha vita ya Nani kaingiza mapato mengi ila cha ajabu haikuishia hapo club nayo ikaamua kulitangaza official
Hivi vilabu havijaanza leo kufanya haya matamasha ila kulikuwa hakuna ushamba wa kutambiana nani kaingiza hela nyingi kuliko mwingine, imeanzia kwenye tabia ya kutokubali kushindwa Kwa Manara na sasa kila kitu kimekuwa ni kama vita vile
Kwahiyo ukiangalia baadhi ya Mambo vile yanaenda pale Yanga utagundua kuwa ni kweli Haji ana nguvu flani au kuna nguvu ya mtu mkubwa nyuma yake, ambae obviously atakuwa ni Raisi wa club
Kutokana na hizo Mambo, Kuna kamba nyembamba sana inatenganisha ukweli na uongo wa ule uvumi kuwa Raisi na Muhamasishaji kuna kitu kinaendelea Kati yao
Anyway, kupanga ni kuchangua
unajua kusoma lakini? nani alimtumia mwenzake hizo voice notes? ina maana hata hustuki kusikia kwamba huyo jamaa ana power ya kuamua nani asajiliwe au asisajiliwe yanga? inatia moyo kwamba kuna wana yanga wachache wenye akili hili suala ninawaboa sana ,narudia tena ni wachache mnoooJamderi anajisunbua sna kumjadili manarq mda wote simpendi amewezaje mtu huyu kuwa mchambuzi wa radio
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watajuana wenyewe huko mimi sijui ugomvi wao ulianzia wapi wanaume na ndevu zao kila siku kuandikiana mipashoameambiwa aseme suu voice notes ziachiwe
Mbona majibu yapo hapo mkuu, nimesema sina uhakika na hiyo issue me nikajikita kwenye kuongelea issues zingineSawa ume andika yote hayo naku uliza unakubaliana kua Haji ana uwezo wa kuamua nani asajiriwe nani aachwe hapo Yanga?
hapo alipo kazi ya kimpira hana, kafungiwa na TFF kazi nyingine anaendelea nazo, hata kama za aibu na pesa anapata nyiingi tuRoho mbaya TU,wengi wenu mnatamani akose kazi Ili mumcheke
Tunazisubiri kwa hamu sana saaana tu, sope aseme suuu na inashangaza masaa yashapita kanywea kimyaNa nnavyofahamu mmakonde yule...LAZIMA VOICE NOTE AIWEKE HEWANI TU NARUDIA LAZIMA NI SUALA LA MUDA TU
Heshima uliyojijengea inaporomoka kwa upuuzi wa Kazumari.Asalalaleeee nilijua Sope bin takadin ndoa yake na yanga imefikia patamu kama pwagu na pwaguzi pale walipoyabeba matusi yake kwa karia kuwa ya taasisi lakini sikujua kama ana mamlaka makubwa kiasi hicho huko utopoloni ya kuamua nani asajiliwe na nani asisajiliwe, aiseee asante Barbara kutuondolea hili dubwasha
Haya sasa bin kazumari the voice of voiceless kasema sema suuuuuuuu atoe hizo voice notes.
View attachment 2319879View attachment 2319880pwagu na pwaguzi wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anasubiriwa sope aseme suu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unalia nn???Sina mda wa kuhangaika na mwanaume anae fatilia wanaume wenzake kutwa nzima
Vipi hutaki we kusikia hizo voice notes? Muambieni mbabe wenu aseme suuuHeshima uliyojijengea inaporomoka kwa upuuzi wa Kazumari.
Kama hatoki kwenye familia yenu, siku zote chizi huonekana anachekesha.!Asalalaleeee nilijua Sope bin takadin.
Alaaa kwani jamaa ni chizi?Kama hatoki kwenye familia yenu, siku zote chizi huonekana anachekesha.!