sawaaa....wezi FC,wauaji Fc,Mautopolo Fc, na makosa ubongo FCHahahahahahaha.... yaani nyinyi wanasaccos mnashida sana. Mwanzo mlikuwa mnasema lazima mtashinda uchaguzi baada ya kushindwa mkasema mtaandamana mkashindwa tena sasa mnasema tutakosa 2 trillion za wafadhiri. Haya bwana ngoja tuendelee kuwasikiliza Malalamiko FC!
Mwanachama mwenzetu gani wakati wanataka kuweka mapandikizi ya CCM? Tunawaonya wasijaribu huo ujinga!Unapata faida gani ukiutoa uhai wa mwenzako tena mwanachama mwenzio! ? Kumbe mnauana wenyewe kwa wenyewe mkimaliza kuuana mtasema ilikua njama za CCM.
Eeeeh kisu kimegusa mfupa!Acha uzushi wa kipuuzi sasa.
Taifa limekwishahatibiwa na kuongozwa na shetani. Haliwezi kuwa jema kwa kuteua wabunge wa upinzani pekee.Kwa hiyo hamuandamani tena? Mnatia aibu kwa kuliombea taifa mabaya
Huku CUF wamegomea ushirika wa kila namna na shetani.Kuna mbunge wa cuf na wa chadema watashika kamati
VUF wamekataa kata kata ofa ya shetani.Sasa hapo mnamkomoa Nani?
Katika teuzi za wabunge kumi wa rais si anateua tu watu wa cuf na nccr au chauma?
Mambo mengine muwaze kwa akili
Mzee wa ubwabwa yupo.....mavyama mengi kwanini uhangaike na waleta poz
Unafikiri wanaotoa hela ni wendawazimu kama CCM? Fanyeni hivyo haraka, msichelewe, msubirie matokeo.Nakumbuka Mbatia alishakua mbunge wa upinzani wa kuteuliwa na rais.
Kama hoja nikuongoza kamati hizo mbili rais anaweza kuteua wabunge wanne kutoka vyama kadhaa vilivyokubali matokeo na hoja ya kamati kuongozwa na wapinzani ikawa imeisha rasmi na hizo hela zikaja pia kama hoja ni hiyo.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Siku hizi tiss ni mtu mmoja
Polisi ni mtu mmoja
Mahakama ni mtu mmoja
Tume ni mtu mmoja
Yani kila kitu kinaamuliwa na mtu mmoja
Rais ana viti 10. Anamteua Rungwe, Shibuda, Queen Sendiga, Mahona na Rashid MohammedAnaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa twitter:
Kanuni za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti Maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi.
Mtakosa 2 Trillion za Donor Countries kwa nchi kukosa utawala Bora
Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
Akatae wali yule. Laghai balaaa LipumbaUnadhan Lipumba akiambiwa apeleke majina ya wabunge atakataaa?
Profesa njaa Lipumba hawezi kukataaAkatae wali yule. Laghai balaaa Lipumba
Wapinzani mapindikizi hawawezi kukubalika na wahisani. Mtanyooka tu na viburi vyenu.Rais ana viti 10. Anamteua Rungwe, Shibuda, Queen Sendiga, Mahona na Rashid Mohammed