Uchaguzi 2020 Kumbe kuna hatari ya kukosa Trilioni 2 kutoka kwa Wahisani kutokana na Kasoro za Uchaguzi(?)

Uchaguzi 2020 Kumbe kuna hatari ya kukosa Trilioni 2 kutoka kwa Wahisani kutokana na Kasoro za Uchaguzi(?)

Hahahahahahaha.... yaani nyinyi wanasaccos mnashida sana. Mwanzo mlikuwa mnasema lazima mtashinda uchaguzi baada ya kushindwa mkasema mtaandamana mkashindwa tena sasa mnasema tutakosa 2 trillion za wafadhiri. Haya bwana ngoja tuendelee kuwasikiliza Malalamiko FC!
sawaaa....wezi FC,wauaji Fc,Mautopolo Fc, na makosa ubongo FC
 
Unapata faida gani ukiutoa uhai wa mwenzako tena mwanachama mwenzio! ? Kumbe mnauana wenyewe kwa wenyewe mkimaliza kuuana mtasema ilikua njama za CCM.
Mwanachama mwenzetu gani wakati wanataka kuweka mapandikizi ya CCM? Tunawaonya wasijaribu huo ujinga!
 
Nonsense. Kwahiyo hiyo sheria inataka upinzani wawekwe hata kama hawajashinda?
 
Mimi nafurahi nchi inavyoendelea kubanwa kila kona na mabeberu serikali itakoposhindwa kutekeleza baadhi ya miradi ndio hata nzi wa kijani akili zinataanza kufunguka
 
Kama kanuni zinahitaji Mbunge yeyote tu wa upinzani pasi kujali kapatikanaje then mmeshazidiwa akili hata msipopeleka viti maalumu.

1.Rais ana wabunge 10 wa kuteua.

2.Hizo kamati zitakuwa chini ya Makamu wenyeviti tu kwa miaka yote.
 
Kwa hiyo hamuandamani tena? Mnatia aibu kwa kuliombea taifa mabaya
Taifa limekwishahatibiwa na kuongozwa na shetani. Haliwezi kuwa jema kwa kuteua wabunge wa upinzani pekee.

Shetani ni vema akatambua kuwa siku zote siyo rahisi kuvipata vyote. Unataka udikteta na wakati huo huo unataka matunda ya demokrasia!! Amekwishaamua kuwa dikteta, basi vema akafurahia matunda ya udikteta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani upinzani kwani lazima uwe CHADEMA. Tanzania ina vyama vingi sana lolote linawezekana hao CHADEMA imebaki historia tu
 
Nakumbuka Mbatia alishakua mbunge wa upinzani wa kuteuliwa na rais.
Kama hoja nikuongoza kamati hizo mbili rais anaweza kuteua wabunge wanne kutoka vyama kadhaa vilivyokubali matokeo na hoja ya kamati kuongozwa na wapinzani ikawa imeisha rasmi na hizo hela zikaja pia kama hoja ni hiyo.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Unafikiri wanaotoa hela ni wendawazimu kama CCM? Fanyeni hivyo haraka, msichelewe, msubirie matokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi CDM hamuna jipya yani kwa kuwa wenye chama akina Mbowe na wenzake wameanguka katika majimbo yao ndio mnataka ba wenzenu pia wakose acheni roho mbaya zenu

Katika uchaguzi serikali za mitaa mliwafanyia hivyo hivyo wagombea wenu mmefanya nini hadi leo
 
Anaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa twitter:

Kanuni za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti Maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi.

Mtakosa 2 Trillion za Donor Countries kwa nchi kukosa utawala Bora

Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
Rais ana viti 10. Anamteua Rungwe, Shibuda, Queen Sendiga, Mahona na Rashid Mohammed
 
Back
Top Bottom