Kumbe kuna kikao cha Wanaume kilifanyika ila nimesoma sehemu Maazimio kadhaa

Kumbe kuna kikao cha Wanaume kilifanyika ila nimesoma sehemu Maazimio kadhaa

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241124_100028_Google.jpg


Kuanzia sasa hakuna tena hela ya kutolea unapo mtumia mwanamke hela,akitaka hela kamili afuate geto

Kuna vifungu viwili vya uhaini vimeongezwa,ila nakumbuka kimoja tu,mwanao akitaka kuazima geto lako awe na demu wake,ukimnyima huo ni uhaini

Demu akiwa anasema anakuja geto,halafu wewe ukaoga vizuri na kufanya usafi halafu asije,huyo achana nae mara moja maana hata kwenye harusi hatohudhuria

Demu akiwa tofauti na snap chat yake kwa mwonekano,au akiwa katika picha ni tofauti na mwonekano wake halisi basi unaruhusiwa kumuacha hata hapo katika stand ya dala dala

Demu akiwa na shida na wewe basi anatakiwa atumie nauli yake kuja geto kwako,kama ambavyo wewe ukiwa na shida nae umtumie nauli aje geto kwako

NI marufuku kutumiwa meseji ya kuachwa halafu ukaanza kulialia geto

Hayo ndio baadhi ya maazimio ninayo yakumbuka,kilichobaki ni utekelezaji tu

Ni hayo tu!
 
Back
Top Bottom