secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Hii nimeipenda bure.Ahsante dear🤣🤣🤣🤣
Hatushindani tunarekebisha tu kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nimeipenda bure.Ahsante dear🤣🤣🤣🤣
Hatushindani tunarekebisha tu kidogo
Ambao hawafuati maelekezo ni wasalitiVikao ambavyo maelekezo hayafuatwi 😂
Huku mtaani usipotuma na ya kutolea atatumiwa na mwngine, ukishindwa kufanya tunakusaidia unabak na maumivu.
Na tukiwa tunakaribia ma-home, hata kama shemshem ni mtunza hazina wa harusi ya braza, tulikubaliana kwamba mashemshem wawe wanatunza siri..!! kila demu wa braza aambiwe yeye ndo muolewaji..!!!Pia wakati tunaondoka kuna mwamba alipayuka akisema mademu wazuri wote ni wa kuwagonga na kusepa ila mademu wa kawaida ndo wakuweka makazi ya kudumu.
Sehemu ya maazimio yenu iwe kwamba mkihitaji hela, mnaifuata geto..!!Mmemaliza? Na sisi tutakutana hivi karibuni na maazimio yetu yatatokana na maazimio yenu.
Brace yourselves😁😂
Marekebisho ndo ubishani wenyewe shemeji ledada..!! Maana unarekebisha/unabadilisha maadhimio ya mabraza..!!Ahsante dear🤣🤣🤣🤣
Hatushindani tunarekebisha tu kidogo
Imwage hapa bossNa kuna mtu alichelewa alivokua anafika hivo hoja yake aliiwasilisha kisirisiri kwa mwenyekiti
Mimi nimeipata....
"Demu anatongozwa mara moja tuuh akizingua hakuna haja yakumbembeleza maana sio mke huyo "Imwage hapa boss
Ipo wazi kikao kijacho kinafanyikia wapi?Ambao hawafuati maelekezo ni wasaliti
Tutafahamisha boss wangu ratiba ikitoka,maana wkt mwingine taarifa hazitufikii kwa wakati tunapata maazimio kama hayaIpo wazi kikao kijacho kinafanyikia wapi?
Hii nimeipenda sababu tuna mambo mengi ya kufanya,mambo ni mengi na mda ni mchache"Demu anatongozwa mara moja tuuh akizingua hakuna haja yakumbembeleza maana sio mke huyo "
Mwisho wa kunukuu mkuu.
Na usaliti ni dhambi kubwa ambayo uwezi kusamehewa kamwe.Ambao hawafuati maelekezo ni wasaliti
Sawa😂😂😂😂eeh tenaa
Hatubadilishi shem tunawekana sawa tu😂
Sawa mkuuTutafahamisha boss wangu ratiba ikitoka,maana wkt mwingine taarifa hazitufikii kwa wakati tunapata maazimio kama haya