Elections 2010 Kumbe kuna wabunge kumi wa chadema hawajatoka Bungeni Rais alipokua akihutubia bunge

Ili la Hamad kugeuzwa shujaa limeanza lini, au CUF leo wamebatizwa?
 
if at all kunawambunge 10 ambao hawakutoka wakati wa hutuba ya JK, imeonyesha udhaifu wao au hali ya mtazamo wao ktk ktk mambo ni tofauti na wengine... lkn walichokifanya the rest kutoka nje niajmbo Bora kuonyesha kuwa hawakuridhia mambo fulani ktk uchaguzi pia .... kuwa tayari kushow the word that..hii itaingia ktk history ya hii nchi.... na itafungua na kuondoa woga ....ktk kusimamia maamuzi fulani asikwambie mtu kuinuka ktk kiti ktk mazingira kama yale na kutoka nje ni ujasili tosha .......wapo walioshindwa kwakuogopa .... n.k
 
cjui ni kwann most members wa jf wanakuwa wakali sana hasa linapokuja suala la wazi ambalo linaigusa au kuitia dosari chadema! May be I am meant to understand that 'mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu'....its very true that 'when a fool becomes enlightened, the wise man is in trouble'....
 

- Mkuu heshima sana, hivi ninakuelewa vizuri hapa kwamba wananchi waliopeleka wabunge 46 wa Chadema bungeni, wengi hawana elimu ya kutosha kwa hiyo dawa ni kubadili katiba! is that right?

William.
 
Ze mjadala iz ova, tupo ukurasa wa 6 sasa hakuna jina la mbunge alotajwa kubaki ndani wkt wengine wana walk out, ha ha ha, ze thread iz expired and ze wachangiaji are foolish.
 
Hahahahah u need brain surgery Muafaka upi unaongelea wewe? ama unaimanisha ndoa iliyoifuta FUC kwenye medani za siasa Tanzania?

Watoto wa midhabahuni utawajua tu... Lazima wachomekee mambo waliyokuwa wanafanyiwa na mapadri!
 

Fresh from college utawajua tu na mikwala yao ya kishule shule!!!!

Mh. Hamad Rashid aliupotosha umma wa Watanzania na hakuna hata mwandishi ama kiongozi mmoja wa Chadema aliyeona umuhimu wa kupinga hayo? Embu basi na wewe tueleze principle gani ulizotumia za ku-state an assumption, fact na hypothesis kufikia hitimisho hili: "Ukweli ni kwamba HR aliupotosha Umma wa watanzania, na Mbowe hakuona sababu ya kujibu kitu ambacho kipo wazi". Ama kweli kama alivyosema Mh. Hamad Rashid, ukimnyooshea mwenzio kidole, vingine visivyopungua vitatu vinakuelekea mwenyewe!

Kazi kweri kweri!
 
Facts zingine ovyo kweli kweli! Kila alichosema Mh Hamadi kimekuwa ni Kama msahafu! Ndo maana Malecela alisema go to hell wengine tulimwona alichemka!

Nyie wa Vatican hata mapadri wakiwadonyoa vitoto mnaona sawa tu.
 

Dying horse ehhh? Kwa sababu alimvuruga professional DJ right?

Waliotaka kuitumikia Zanzibar waliamua kugombea Uwakilishi na yeye angelitaka hivyo naye angegombea Uwakilishi badala ya ubunge kama walivyofanya waakina Ismail Jussa. Unapojaribu kutunga uongo basi mtumie na akili kidogo ili huo uongo uelekee elekee kidogo, siyo kama wale wakazi wa kudumu wa pale dampo la Kigogo.
 

You know what is wrong-- unahitaji kufanya kitu kinaitwa "Facts check" Usiishie hapo tu kuwa HR kasema, Mbowe hakujibu, then unaclonclude, ulitakiwa uende mbali, uje walau na majina mawili matatu hivi ya wabunge wa chadema ambao hawakutoka, au ucite same information kutoka kwa mtu mwingine. Wewe umerely kutoka kwa HR peke yake, na hiyo issue haijaripotiwa mahali pengine popote. Ukumbi ule wa bunge siku ya tukio ulikuwa na waandishi wa habari kibao, sidhani kama hilo lingewapita-- that is one way ya kufanya fact check. Kwa kuwa hukufanya hivyo basi hiyo tuhuma ya HR haina ukweli. Huenda Mbowe hakujibu kwa kuwa haikuwa ni issue ya kujibu, au aliacha ili watu wamuone HR kuwa ni muongo-- je hilo umelifikiria

Nadhani ndugu aliyekuambia kuwa hukujishughulisha alikuwa sahihi. It is like katoto kadogo kanaona kitu halafu kanaripoti kama kilivyokuwa,bila kujiuliza kama anachokiripoti kina ukweli wowote, loh, please grow up dude
 

Tatizo watu humu ndani wamejaa mapenzi kiasi kwamba hawauni baadhi ya vitu kwahiyo ili uende nao sawa na wewe uwe kipofu

Nakuonya:

Usiandike hivyo utazogolewa na wapenda Chadema shauri yako!!!!!!!!!
 

Usimwonee William hata huyo Mbowe he merely kutoka kwa HR kuna maswala mengi sana yanafanyika wao kwa wao wanapingana soon yatakuwa wazi then tutarudi hapa kutoa facts zaidi. Mie nasema hadi sasa hakuna upinzani
 
Madrasa al sul al Jihad! Mabikira 72 na wajakazi 800 wera wera!

Mabikira wavulana ama wasichana. Nasikia wewe ulikuwa unajua kuchezesha na Mapadri walikuwa wanakugombania siku ya kula sadaka! Teh teh teh!!!!
 

Hayo matokeo yangekuwa yanareflect hali halisi hapo kweli.
kwanza yamechakachuliwa,
pili waliopiga kura ni wachache sana ukilinganisha na idadi ya watanzania
 

Nakumbuka Nyerere aliwahi wajibu waandishi wa habari wa Kenya " Hivi nikikwambia mimi nalala na mama yako utakwenda andika hii habari? wakati mwingine Bill usimeze kila kitu bila kutafuta ukweli. Kuna uwezekano HR aliamua kupotosha na watu wakanywa sumu
 

Hizo kumbukumbu... Mbona ile ya nyuma ya piano na yule padri wa Kitaliano hutuambii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…