Kumbe kuna watu wana PhD halafu wanalipwa laki 5?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Aiseeh! hii imenipa faraja, sio kwa nia mbaya, maana nilikuwa najiona nina bahati mbaya nilipokuwa najiona nina kipato kidogo na nimechelewa kufikia malengo yangu

Rais kasema Kuna mtu kasoma miaka 4 China PhD na alikuwa akilipwa laki 5, japokuwa kateuliwa kuwa DC, lakini inamaanisha bado watu Kama Hawa wapo

Your browser is not able to display this video.
 
Kwa usanii hao jamaa hutawaweza.

Hio yote ni kukwambia shukuru kwa ulicho nacho huku nyie mlioko serikalini mkipewa ujumbe wa mnalalamika nini na vi diploma/degree zenu wkt huku Chamani kuna watu wana PH.d na wanalipwa laki 5 tu.
 
Kwa usanii hao jamaa hutawaweza.

Hio yote ni kukwambia shukuru kwa ulicho nacho huku nyie mlioko serikalini mkipewa ujumbe wa mnalalamika nini na vi diploma/degree zenu wkt huku Chamani kuna watu wana PH.d na wanalipwa laki 5 tu.
Halafu CCM wakisimama bungeni wanasema vijana wajiajiri, wakati wao wamekimbilia bungeni kuchukua mamilioni
 
Kuna ambao wana PhD na wamekaa nyumbani tu wanadeki na kuosha vyombo. Taifa linapoteza sana na ingekuwa vizuri kama rais akawaita akawapatia kazi.
 
Tanzania Ni Tajiri

Hata Mimi Mwenyewe Mshahara Haunitoshi Ndugu Zangu
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚βœ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…