hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha500,000/2,318=USD216. Yaani akifunga kula mwaka mzima, atasevu USD261x12 = 2,592! Uongo huo. Amenunuaje hiyo suit? Utakuta kajenga jumba sehemu hapa Dar. Vinginevyo atakuwa mwizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha500,000/2,318=USD216. Yaani akifunga kula mwaka mzima, atasevu USD261x12 = 2,592! Uongo huo. Amenunuaje hiyo suit? Utakuta kajenga jumba sehemu hapa Dar. Vinginevyo atakuwa mwizi.
Ni Usalama huyo.Kwa usanii hao jamaa hutawaweza.
Hio yote ni kukwambia shukuru kwa ulicho nacho huku nyie mlioko serikalini mkipewa ujumbe wa mnalalamika nini na vi diploma/degree zenu wkt huku Chamani kuna watu wana PH.d na wanalipwa laki 5 tu.
Umegongelea point muhimu sana. Wakati mwingine ana frustrations zake.Usiamini kauli za Magu 100%, inategemea ameamkaje.
Mkuu huo ndio ukweli .. Jamaa ni waongo hao hawana mfanoKiongozi umeua kabisa.
Ha ha we jamaa utakuwa ni Engineer bila shakaHizi PhD za ngwini unaweza usipewe hata mshahara ukaishia kujitolea tu, unakuwa huna tofauti na chifu mangungo wa msovero..
Hutujawahi kupata Kiongozi muongo kama huyu. Haoni aibu hata chembe!Mkuu huo ndio ukweli .. Jamaa ni waongo hao hawana mfano
Hujui unaloongea wewe. Unajua kunawatu mpo kiushabiki tu. Hv mtu kasoma akawa na degree akakosa kazi bado akasoma Masters akakosa kazi hv unafikiri ni rahisi kwenda kusomea phd kweli. Wengi waosomea phd lazma awe anakazi ndio aende kusomea phd.Kuna ambao wana PhD na wamekaa nyumbani tu wanadeki na kuosha vyombo. Taifa linapoteza sana na ingekuwa vizuri kama rais akawaita akawapatia kazi.
Kwani Mahahara wa Dc ni sh ngapiInawezekana,kijana alikubali hiyo kazi alijua ni mapito tu,ipo siku atatoka.Siku hizi wenye PhD wapo kibao.
Umeona ee, wazee wa kujaza questionnaire wanaokota PhD kwenye mitandao halafu wanakuja kutusumbua na title za dr. Hivi yule jamaa msemakweli alipotelea wapi, maana aliwaumbua sana kwenye kile kitabu chake..Ha ha we jamaa utakuwa ni Engineer bila shaka
hapana mkuu mshahara hauwezi kuwa 950,000 halafu net pay ikawa 500,000,itakuwa around 700,000-730,000mimi kuna mtu tunafanyana naye kazi ana Phd hana cheo, mshahara gross 950,net laki 5.
nimeweka na non-statutory deductionhapana mkuu mshahara hauwezi kuwa 950,000 halafu net pay ikawa 500,000,itakuwa around 700,000-730,000
Mzee kwani laki tano huwezi kununua suti?
Tena sio moja