Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mnazungumzia PhD ipi?Kuna ambao wana PhD na wamekaa nyumbani tu wanadeki na kuosha vyombo. Taifa linapoteza sana na ingekuwa vizuri kama rais akawaita akawapatia kazi.
PhD ya nini?mimi kuna mtu tunafanyana naye kazi ana Phd hana cheo, mshahara gross 950,net laki 5.
Unaielewa vipi PhD?Hahaaa nimecheka asee, mnapinga nini sasa?!PhD siku hizi ni ya kawaida tu wengi mno wanazo tena wengine hata job hawana.
Phd za Sociology ndiyo nyingi.Madegree na PHd za siku hizi ni mzigo na chanzo cha stress. Kuweni makini usiseme ujambiwa.
Bro PhD na masters kusoma ni fursa ya kupiga pesa ,unakuta una scholarship nzuri inayokupa stipend ya kutosha kwann usisome.mfano mm kuna scholarship nimeomba ikikaa sawaa stipend per month ntapokea 800usd ,bila makato kwann nisiende shule nikasome masters ?Hujui unaloongea wewe. Unajua kunawatu mpo kiushabiki tu. Hv mtu kasoma akawa na degree akakosa kazi bado akasoma Masters akakosa kazi hv unafikiri ni rahisi kwenda kusomea phd kweli. Wengi waosomea phd lazma awe anakazi ndio aende kusomea phd.
3,8 M.KWaninMahahara wa Dc ni sh ngapi
Mrembo ulipotelea wapi! Nikajua ume RIPNa wewe ukaamini?[emoji849][emoji849]
Si kweli3,8 M.
Kuna uzi fulani ulikuwa unazungumzia mishahara ya wahadhiri wa chuo kuanzia kwa Tutorial Assistant hadi ngazi ya proffesor kuna jamaa mmoja alidadavua vizuri mno ukampa pongezi...3,8 M.
Si kweli
Yes dear sikuwa around na nilibanwa mno mnoNzurii ulienda masomon au..nlkumiss Sanaa mama
Mimi najua anapokea M2Si kweli
PhD ya Ghuangzhou haitambuliki, bora chukulia Dar MkuuDuh PhD mshahara laki 5
Kina Hemed PHDInawezekana,kijana alikubali hiyo kazi alijua ni mapito tu,ipo siku atatoka.Siku hizi wenye PhD wapo kibao.