Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Huwaga na upaa kichwa kizima,PhD(Poor hair Distribution).Naonaga tu PhD hivi ndo wanakuwa wamesomea unini..??
Mi niliishia la tatu E..[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwaga na upaa kichwa kizima,PhD(Poor hair Distribution).Naonaga tu PhD hivi ndo wanakuwa wamesomea unini..??
Mi niliishia la tatu E..[emoji28]
Kwa hiyo nini ushauri wako.Madegree na PHd za siku hizi ni mzigo na chanzo cha stress. Kuweni makini usiseme ujambiwa.
Thank u so much my, hunishindi mimi[emoji39]Ooh pole Sana mamii,I'm glad you're back!
Naku'appreciate Sana humu ndan witnessj
Kusoma kuna faida zaidi ya laki 5Sasa si bora niishie zangu tu Darasa la 7 ili nijue moja ambapo naweza Kupambana na nikaipata Pesa zaidi ya hiyo kuliko Kulipwa ukiwa Msomi?
kwani unadhani kazi yake hasa itakuwa ni nn kwani??maana kazi za chama mpaka uchaguzi na uchaguzi ni after 5 years
Mmh mbona sikuona rambirambi[emoji39]Mrembo ulipotelea wapi! Nikajua ume RIP
Kuongea si kusomaPhD siku hizi sio issue. Wapo wanaosema wanayo PhD na wamesoma kwa lugha ya kiingereza ila kukiongea hawawezi.
waliozaliwa miaka ya 82 hawalizikiiii
Haya maisha bana,Le Mutuz amezaliwa 1960 lkn akikutana na hao machalii hapo juu anabaki akijichekesha chekesha tu huku akijisemesha Yu Know The billionairez Goddamn bla bla bla...Makonda feb 15 ,1982
Gambo may 22, 1982
Wanajua wakiwabana kwny posho/maslahi yao nao wabunge wataibana kisawasawa serikali humo bungeni,So dawa ni kuwapa pesa za kutosha wanywe pombe sana tu wakija asubuhi wana ma hangover ya hatari wanagonga meza tu na pia wawe bize na wanawake/mrax wa dodoma.Mishahara na posho za wabunge ipunguzwe kwani hailingani na pato halisi la mtanzania na wanaishi ulimwengu mwingine kabisa.
Swala la kubana matumizi yaelekea halipo kabisa bungeni na ni wakati muafaka kwa serikali kulitupia jicho suala hili. Mafuriko ya wagombea yanathibitisha hili ikiwa limekaa kimaslahi kuliko wito wa kuwatumikia wananchi majimboni.
Naomba nimtetee jamaa ana PhD ya political science in law
inawezkn, nitoe mfn mdg, kuna faza yang mdg ana degree ila kaomba nafasi ya Afisa mtendaji kupitia cheti cha astashahada(certificate) kapata. sasa atalipwa mshahara wa kiwango gani? its obvious atalipwa 3k kwasababu ya kuajiliwa kwa certificate ila ana degree. Ndio hali aliyokua nayo hiyo jombaa. OVER
Sijakuuliza una Suti za Bei gani, nimekuuliza kwani Suti inaanzia Shilingi ngapi Hadi anayelipwa laki 5 ashindwe kununua Suti?Nina suit za USD300, USD500...
Sijakuuliza una Suti za Bei gani, nimekuuliza kwani Suti inaanzia Shilingi ngapi Hadi anayelipwa laki 5 ashindwe kununua Suti?