Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana huyo jamaa alisoma madudu ya kichina ambayo hayana market popote pale.Aiseeh! hii imenipa faraja, sio kwa nia mbaya, maana nilikuwa najiona nina bahati mbaya nilipokuwa najiona nina kipato kidogo na nimechelewa kufikia malengo yangu
Rais kasema Kuna mtu kasoma miaka 4 China PhD na alikuwa akilipwa laki 5, japokuwa kateuliwa kuwa DC, lakini inamaanisha bado watu Kama Hawa wapo
View attachment 1508536
Kila mtu ana plan mzee,Ina maana huyo jamaa alisoma madudu ya kichina ambayo hayana market popote pale.
Planning ya kupata PhD si kam kwenda dukani kununua elimu.Kila mtu ana plan mzee,
Jamaaa alijua,kwa utawala huu,wenye elimu wengi wamepewa nafasi
Huyo mzee ana cheni yake toka aivae mwaka 1988 hadi leo hajaivua [emoji23][emoji23][emoji23]Haya maisha bana,Le Mutuz amezaliwa 1960 lkn akikutana na hao machalii hapo juu anabaki akijichekesha chekesha tu huku akijisemesha Yu Know The billionairez Goddamn bla bla bla...
Hahah ukimuuliza atakwambia Ma men i got that Chain from le mbebezi in 1980's nilipokua namalizia degree yangu ya pili ya Marine Management huko Connectcut,hahah Goddamn Mazafanta le billionaire riding my Toyota Noah.Huyo mzee ana cheni yake toka aivae mwaka 1988 hadi leo hajaivua [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah ukimuuliza atakwambia Ma men i got that Chain from le mbebezi in 1980's nilipokua namalizia degree yangu ya pili ya Marine Management huko Connectcut,hahah Goddamn Mazafanta le billionaire riding my Toyota Noah.
mil3Laki 5 jumlisha allowances mil 3.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]eti vibwengo.PhD uchwara hiyo, alikuwa Makao Makuu CCM kwa kazi gani kama hajasomea utopolo?
Bila shaka ndo hawa vibwengo wanashinda mitandaoni kutetea chama.
MTAAAfisa mtendaji wa mtaa au??
Maana wa kata level ni za degree na zamani waliajiriwa wa diploma
Hahahaha basi nimekuelewaUkimweka akilini JIWE utachanganyikiwa. akili za kuambiwa changanya na zako.
Basi hawajui kwanini wanasomaKwa hali ninazoziona kwa baadhi yao..Nadhani kweli kuna wanaokunja pesa za dizaini hizo..
HahahahaSasa wenye bachelor tulilidhia kulipwa laki tano na nusu lakini wao wakaona aibu na kuona watufukuze kazi.
Inawezekana ni PhD yake.Wakuu, recently nilisikia Mkulu akijisifu kuwa Baharia ambaye ni PhD holder akila 500,000 kwa mwezi na kwamba huyu Daktari alikua "vere komfotabo"!
Kwa sasa kwa Tz gharama za Masters si chini ya million tatu na PhD si chini ya 10m, sasa kama unafanya investment ya more than 15m pamoja na miaka uliyosoma yote kisha unalipwa laki tano na uko poa tu Basi either wewe ni tatizo au hio PhD yako ni ya kubumba.
Soma ili uweze kujitegemea na uweze kuwasaidia na wengine, kwa laki tano kamwe narudia kamwe utakua umeharibu muda wako na kuwapotezea wengine hizo bahati za kusoma na kuw productive, huwezi kuwa productive kwa salary ya laki tano.
Watu kama hawa unakuta hawawezi kuandika hata two pages Concept Note, narudia either yeye au hio degree yake ina matatizo.
Shukrani