Kumbe kuna watu wanaenjoy kwenye ndoa? Nawachukia sana! Nasumbuliwa na post traumatic syndrome I hate all woman even my sister

How old are you?
 
Sijaolewa mimi bado natafuta bwana
Hivi nikikupiga mistari Mimi sio wa kimoja chali utanielewa kweli au ndio tutazingushana mpaka pasaka ipite tupo kwenye Ramadhan
 
Hivi nikikupiga mistari Mimi sio wa kimoja chali utanielewa kweli au ndio tutazingushana mpaka pasaka ipite tupo kwenye Ramadhan
Nyie mnaojisifia ndo hamna kitu yaani...empty kabisa
 
kuna mwalimu wangu kipindi kitambo sana alikua na tabia ya kusema 'mwanamke ni shetani' uku akitizama mabinti wa darasa kwa macho ya ukali hii ilikua ni bada ya kufundisha akiwa anapiga story za kuchangamsha darasa

nafikiri alipata tatizo kama lako
 
Wanawake ni muhimu sema yakikuendea vibaya basi ndio utawachukia ila wanatupiga tough sna Kuna mmoja Niko nae hapa ananipa furaha kwenye vita
 
Safi sana, anza kutwanga risasi wazazi wako na dada zako wote. Halafu jitwange na wewe kwa kuwa una mahusiano.
 
Nyie mnaojisifia ndo hamna kitu yaani...empty kabisa
Nataka ujaribu kujionea km maneno hayo uliyoambiwa ni ukweli au ni UONGO tufanye mchakato alafu majibu utayapata baada ya kugundua kwamba sipo empty nipo full ujazo, kwa hio tunafanyaje hapo sasa au Mzabzab atazuia Goli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…