Kumbe kuna watu wanaenjoy kwenye ndoa? Nawachukia sana! Nasumbuliwa na post traumatic syndrome I hate all woman even my sister

Kumbe kuna watu wanaenjoy kwenye ndoa? Nawachukia sana! Nasumbuliwa na post traumatic syndrome I hate all woman even my sister

Nachukia ndoa na wala sipendi watu wanaofurahia ndoa zao na wala nawachukia those people who start to establish relationship na kwamba ndoa ni utapeli na kupotezeana muda tu and I hate those woman even my sister I hate too

Nasumbuliwa na post traumatic syndrome yaani ambapo nikitaka kuoa au kuingia kwenye mahusiano najikuta nachukia naona wanawake wote ni sawa yaani nahisi wanawake wote ni nyoka na nawachukia sana hao wanawake

Nahitaji ushauri nifanyeje? Nachukia watu wote walio kwenye ndoa wale wote wenye furaha kwenye ndoa naona na juzi nusu nimpige risasi mwanamke ambaye niko nae kwenye mahusiano!NAWACHUKI
sasa dada yako kakukosea nini?
 
Anza kudate na wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita kesho kutwa... Utakuja kunishukuru
 
Nachukia ndoa na wala sipendi watu wanaofurahia ndoa zao na wala nawachukia those people who start to establish relationship na kwamba ndoa ni utapeli na kupotezeana muda tu and I hate those woman even my sister I hate too

Nasumbuliwa na post traumatic syndrome yaani ambapo nikitaka kuoa au kuingia kwenye mahusiano najikuta nachukia naona wanawake wote ni sawa yaani nahisi wanawake wote ni nyoka na nawachukia sana hao wanawake

Nahitaji ushauri nifanyeje? Nachukia watu wote walio kwenye ndoa wale wote wenye furaha kwenye ndoa naona na juzi nusu nimpige risasi mwanamke ambaye niko nae kwenye mahusiano!NAWACHUKI
Uzi umekaa kinafiki sana!!!!

Anyways

Kama unawachukia wanawake..jaribu...kuwapenda masela!!!
 
Punguza shobo,we furaha za wenzio zinakuhusu nn?Halafu wakati wewe uko kwenye muda wako Bora nani alikughasi ghasi?Chakukushauri jibebe ukaishi porini mkuu(off the grid)no phone no shit,uishi wewe mwenyewe na roho yako mbaya
 
There is a very thin line between hate/ strong resentment/despise and love-pain....
 
Jitahidi kwa sasa usiingie kwenye mahusiano kwa miaka mitatu hadi ufike 30.

Unachotakiwa kufanya kwa miaka mitatu.

Usikae muda mrefu bila kufanya ngono ila usirudie mwanamke hata kama amekufurahisha vipi, piga tembea...

Kama hauna hela kagonge hata hawa wa buku tatu tatu, ila kila ukienda gonga mpya, usirudie uliewahi kugonga.

Ukifanya hivyo kwa miaka mitatu, you will be a better person full of love, with no bitterness.
Kwanini asirudie mwanamke?
 
Kemea pepo utakua na Jini mahaba linalokufanya usipende kuoa Libak likumilik wewe tu nenda ukaombewe utolewe shetan hilo
 
Nachukia ndoa na wala sipendi watu wanaofurahia ndoa zao na wala nawachukia those people who start to establish relationship na kwamba ndoa ni utapeli na kupotezeana muda tu and I hate those woman even my sister I hate too

Nasumbuliwa na post traumatic syndrome yaani ambapo nikitaka kuoa au kuingia kwenye mahusiano najikuta nachukia naona wanawake wote ni sawa yaani nahisi wanawake wote ni nyoka na nawachukia sana hao wanawake

Nahitaji ushauri nifanyeje? Nachukia watu wote walio kwenye ndoa wale wote wenye furaha kwenye ndoa naona na juzi nusu nimpige risasi mwanamke ambaye niko nae kwenye mahusiano!NAWACHUKI
= all women.
 
Back
Top Bottom