Kumbe mafuta nayotumia kwenye gari ni sawa na ningekua napanda bodaboda!!



sifa ya huyu mnyama wish new model .

ina button mbili ambazo ni Eco na sport ,ukiondoa hizo buttom inabaki kama wish yenye kwenye sifa zake.

Button ya Eco
hii unaweza kuwa kama carina TI yani mafuta elfu kumi unatembea na safari fupi.

Sport
hii wala wanaofahamu mlio subari na nduki za ali kateleza(altezza) ila wese hapa utakimbia maana inafumua advance turbo na cc inakuwa na uwezo mkubwa.

kapo kanukula maji [emoji97][emoji97]

kwa mwezi eco button na tumia elfu 60000
 
Kuna mahali niliona mtu kaandika kuwa passo yenye piston 4 (cc 1290) ina injini ya 2kr, sijui kama ni kweli
Hamna engine ya 2KR mzee! Engine za 4 cylinder za Toyota unazoona common barabarani ni hizi hapa!

1KR 990cc (Passo, Vits)

2SZ 1290cc (Funcargo,Passo, Vits)

2NZ 1290cc(Ist, Vits,Porte)

1NZ
1490cc(Spacio,Ist,Raum,Rush,Vits,Runx,Rumion,Premio, Allion)

1ZZ 1794cc (Spacio, Wish,Isis,Opa,Vista,Rumion)

1AZ 1990cc(Opa,Noah mayai,Premio)

3S 1998cc( Noah dume/old, Altezza)

2AZ 2394cc (Harrier, Kluger, Vanguard)

Six Cylinder engines:
1G 1998cc (Mark 2, Chaser,Cresta,Altezza, Verossa)

1JZ 2490cc (Mark 2, Chaser,Cresta, Altezza,Progress, Brevis, Crown 90 series)

2JZ 2990cc(Altezza Gita,Brevis)

4GR 2490cc (Mark X, Crown GRS,Lexus IS250)

3GR 2990cc (Mark X,Crown GRS)
 
Hii gari naihusudu sana! Ina ValveMatic system ambayo inacontrol ulaji wa mafuta ni new tech after VVT-i
 
Umenena vyemaa cheif

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mdau hapo juu kasema passo yenye piston 4 injini yake ni K3, ni kweli maana hamna passo yenye 2nz ila vitz ziopo za kutosha tu
 
Iv wish old yenye 1zz na carina ti 5A ipi inatumia mafuta kidogo zaidi?

Maana ninavyoelewa injini ya VVT- I yenye cc 1790 inatumia mafuta kidogo zaidi ya injini za kizaman yenye cc 1490 kama vile 5A n.k..

Wataalam hapo mnasemaje?
 
Unafanyia Sundar
 
Wakuu nimewasoma.

Kumbe bado ulaji wa mafuta uko juu sana kwa hii gari?

Kwahiyo angalau ilitakiwa ningetumia wese la kiasi gani kwa mwezi kwa mizunguko hiyo nilofanya
Kwa cc1290 zen unapata km 9.8 duh..inakula aisee. Hpo kuna vitu viwili

Inawwzekana kari haipo sawa kwenye mfumo au

Uendeshaji wako sio mzuri.

Kwa injin ya cc1290 kikawaida kwa mjini hapa unatakiwa kupata sio chini ya 12km/L.
 
Kwa cc1290 zen unapata km 9.8 duh..inakula aisee. Hpo kuna vitu viwili

Inawwzekana kari haipo sawa kwenye mfumo au

Uendeshaji wako sio mzuri.

Kwa injin ya cc1290 kikawaida kwa mjini hapa unatakiwa kupata sio chini ya 12km/L.
Suala la kuchek mfumo nitafuatilia.

Labda kwenye suala la uendeshaji. Natakiwa niwe nazingatia nini kwenye kuendesha nisichome mafuta sana.

Niwe nakimbiza au naendesha taratibu.

Kuna mshikaji nikipandaga lift kwenye Harrier yake anakimbizaga hata kama umbali mfupi. Niwe nafanya hivo?
 
Hakikisha kwenye uendeshaji wako rpm iwe chini ya mbili acha gari ivhanganye yenyewe usiilazimishe kama huna haraka sana.

Speed nzuri inayotumia mafuta kidogo ni 50,60 hadi 70 labda kidogo 80 km/h
 
M8 si unaiachia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameanza na mbwembwe kibao sijui babywoka wewe mkuu sema tu hiyo passo yako na bado haipo clear maana huo ulali ni mkubwa sana kwahyo unajisifia maumivuuu tuuu mkuu na sio ulajo Mzuri wa mafuta pia hakuna 1KR yenye hizo cc mkuu kwa hilo umefeli kiongoz uliza uelekezwe boss kujua kwingi mbele giza #mzeewababywoka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
stoplight
 
Leo nimechungulia kwenye Bonet engine wameandika K3 - VE.
Lakin kwenye card ya gari wameandika 1NZ.
Hizo gharama ulizopiga ina maana unafanya kazi siku zote za mwezi hamna siku umepumzika?

Hakuna siku umekaa foleni engine ikiwa inanguruma?

Hufanyi service? Huoshi gari? Hujazi hata upepo? Hulipii parking? Tozo za madaraja?

Hizo zote ni gharama za kumiliki gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…