Hamna engine ya 2KR mzee! Engine za 4 cylinder za Toyota unazoona common barabarani ni hizi hapa!Kuna mahali niliona mtu kaandika kuwa passo yenye piston 4 (cc 1290) ina injini ya 2kr, sijui kama ni kweli
Hii gari naihusudu sana! Ina ValveMatic system ambayo inacontrol ulaji wa mafuta ni new tech after VVT-iView attachment 1989252
sifa ya huyu mnyama wish new model .
ina button mbili ambazo ni Eco na sport ,ukiondoa hizo buttom inabaki kama wish yenye kwenye sifa zake.
Button ya Eco
hii unaweza kuwa kama carina TI yani mafuta elfu kumi unatembea na safari fupi.
Sport
hii wala wanaofahamu mlio subari na nduki za ali kateleza(altezza) ila wese hapa utakimbia maana inafumua advance turbo na cc inakuwa na uwezo mkubwa.
kapo kanukula maji [emoji97][emoji97]
kwa mwezi eco button na tumia elfu 60000
Umenena vyemaa cheifNchi za wenzetu gari ni part and parcel ya basic needs, yani kununua gari hakumpi mtu stress kama sisi huku.
Wabongo tunanunua gari sababu ya ufahari tuu.
Na kwa umbumbumbu wetu wabongo tukiona mtu kanunua gari basi ndo tunafanya kama kipimo cha maendeleo kumbe sio kweli.
Kuna mdau hapo juu kasema passo yenye piston 4 injini yake ni K3, ni kweli maana hamna passo yenye 2nz ila vitz ziopo za kutosha tuHamna engine ya 2KR mzee! Engine za 4 cylinder za Toyota unazoona common barabarani ni hizi hapa!
1KR 990cc (Passo, Vits)
2SZ 1290cc (Funcargo,Passo, Vits)
2NZ 1290cc(Ist, Vits,Porte)
1NZ
1490cc(Spacio,Ist,Raum,Rush,Vits,Runx,Rumion,Premio, Allion)
1ZZ 1794cc (Spacio, Wish,Isis,Opa,Vista,Rumion)
1AZ 1990cc(Opa,Noah mayai,Premio)
3S 1998cc( Noah dume/old, Altezza)
2AZ 2394cc (Harrier, Kluger, Vanguard)
Six Cylinder engines:
1G 1998cc (Mark 2, Chaser,Cresta,Altezza, Verossa)
1JZ 2490cc (Mark 2, Chaser,Cresta, Altezza,Progress, Brevis, Crown 90 series)
2JZ 2990cc(Altezza Gita,Brevis)
4GR 2490cc (Mark X, Crown GRS,Lexus IS250)
3GR 2990cc (Mark X,Crown GRS)
Muongo huyoKuna mdau hapo juu kasema passo yenye piston 4 injini yake ni K3, ni kweli maana hamna passo yenye 2nz ila vitz ziopo za kutosha tu
Iv wish old yenye 1zz na carina ti 5A ipi inatumia mafuta kidogo zaidi?View attachment 1989252
sifa ya huyu mnyama wish new model .
ina button mbili ambazo ni Eco na sport ,ukiondoa hizo buttom inabaki kama wish yenye kwenye sifa zake.
Button ya Eco
hii unaweza kuwa kama carina TI yani mafuta elfu kumi unatembea na safari fupi.
Sport
hii wala wanaofahamu mlio subari na nduki za ali kateleza(altezza) ila wese hapa utakimbia maana inafumua advance turbo na cc inakuwa na uwezo mkubwa.
kapo kanukula maji [emoji97][emoji97]
kwa mwezi eco button na tumia elfu 60000
Amesema inaitwa K3 - VEMuongo huyo
Unafanyia SundarUmetimia mwaka sasa tangu ninunue gari yangu hii ya kwanza. Babywoka safi inanitosha, 1290cc engine 1KR.
Tangu ninunue hii babywoka nilikua sijawahi kukaa na kufanya 'cost-analysis' upande wa mafuta nayotumia.
Zaidi nilikua nahisi kama gari 'inanifilisi' vile navokua natoa 20,000 au 30,000 kwa mkupuo napoingia "sheli".
October 2, 2021 Jmosi saa mbili usiku niliweka mafuta ya 50,000.
Sio kawaida yangu maana hata jamaa wa pale Petrol Station (GUDAL) napo-endaga kuweka alinitania "naona leo umeamua kaka..."
Kabla ya kuweka nilisoma ODOMETER nikaweka record kwenye 'sticky note' ya simu.
Basi nikaendelea na mizunguko yangu weeee... Mwenge, Sinza, Kariakoo mara chache, Mbagala Chamazi, Bunju kidogo, Bahari beach kule nakadhalika.
By the way, kwa sasa nakaa pande za Makongo. Office location ipo pale Shekilango Ubungo Business Park (kule ndan kwenye ma-godown yale). So you can imagine my daily routes.
October 25 2021, Jtatu saa mbili usiku 'gauge' ya mafuta ikarudi ilipokua tarehe 2. Nikachukua kalamu na karatasi.
Katikati hapo nilishaongeza mafuta ya 15,000 halafu 20,000. Sio kwamba yalikua yameisha. Nilipata safari ambazo hazikuwa kwenye 'monitoring process'.
Kwahiyo basi;
Mafuta nilinunua jumla 85,000/=
Bei kwa lita: 2,427/=
Jumla lita: 35 ltrs
No. of days: 23 days
Total distance covered: 344 km
Average Consumption:
Distance covered per litre: 344 km ÷ 35 litres = 9.8km/ltr.
Cost per day: 85,000 ÷ 23 days = 3,700/= per day.
Tuseme roughly kwa siku natumia shilingi 4,000 kama gharama za mafuta (asante babywoka yangu).
Hii ni almost sawa na ningekua natumia bodaboda (kwenda 2,000 kurudi 2,000). Na hapo nime-assume ni strictly route ya maskani-ofisini-maskani.
Kumbe hamna tofauti kiviiile.
Tena naona afadhali kwangu, maana naweza kwenda popote, muda wowote.
Naweza kumpa mtu/watu lift. Sinyeshewi mvua. Sipigwi jua.
Hata demu wangu nahisi nilimpata sababu ya hii babywoka. Japokua amenipiga kibuti.
View attachment 1987573
Kwa cc1290 zen unapata km 9.8 duh..inakula aisee. Hpo kuna vitu viwiliWakuu nimewasoma.
Kumbe bado ulaji wa mafuta uko juu sana kwa hii gari?
Kwahiyo angalau ilitakiwa ningetumia wese la kiasi gani kwa mwezi kwa mizunguko hiyo nilofanya
zipo piston 4 za cc 1290...... UsikaririPasso Ni cc 900 na sio 1290
Suala la kuchek mfumo nitafuatilia.Kwa cc1290 zen unapata km 9.8 duh..inakula aisee. Hpo kuna vitu viwili
Inawwzekana kari haipo sawa kwenye mfumo au
Uendeshaji wako sio mzuri.
Kwa injin ya cc1290 kikawaida kwa mjini hapa unatakiwa kupata sio chini ya 12km/L.
Hakikisha kwenye uendeshaji wako rpm iwe chini ya mbili acha gari ivhanganye yenyewe usiilazimishe kama huna haraka sana.Suala la kuchek mfumo nitafuatilia.
Labda kwenye suala la uendeshaji. Natakiwa niwe nazingatia nini kwenye kuendesha nisichome mafuta sana.
Niwe nakimbiza au naendesha taratibu.
Kuna mshikaji nikipandaga lift kwenye Harrier yake anakimbizaga hata kama umbali mfupi. Niwe nafanya hivo?
M8 si unaiachia mkuuView attachment 1989252
sifa ya huyu mnyama wish new model .
ina button mbili ambazo ni Eco na sport ,ukiondoa hizo buttom inabaki kama wish yenye kwenye sifa zake.
Button ya Eco
hii unaweza kuwa kama carina TI yani mafuta elfu kumi unatembea na safari fupi.
Sport
hii wala wanaofahamu mlio subari na nduki za ali kateleza(altezza) ila wese hapa utakimbia maana inafumua advance turbo na cc inakuwa na uwezo mkubwa.
kapo kanukula maji [emoji97][emoji97]
kwa mwezi eco button na tumia elfu 60000
Engine za 2KR zipo Yamaha 250 ina 2KR engine hata engine za boat zipo pia...
Hizo gharama ulizopiga ina maana unafanya kazi siku zote za mwezi hamna siku umepumzika?Leo nimechungulia kwenye Bonet engine wameandika K3 - VE.
Lakin kwenye card ya gari wameandika 1NZ.