Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Kila hatua unayochukua Ili kufikia consciousness ndio kuabudu huko kwani kuabudu ni nini?Ina maana basi hatupaswi kumuabudu bali tunapaswa kufanya alivyofanya nasi tufikie level yake ya uungu
Kwa hatua hii naweza kusema ni kitendo cha kumtetemekea, kumuinua zaidi mtu/Mungu, kusifu na kumtukuza na kuamini ndiye atakayetufikisha peponi/mbinguni etcKila hatua unayochukua Ili kufikia consciousness ndio kuabudu huko kwani kuabudu ni nini?
Mtu anaposema qur-an ime shushwa haina maana mas haf imeanguka kutoka mbinguni kama wawaza hizo huwo ndio ukichaa wenywe.Vichaa wapo wengi sana, hakuna kitabu kimeshushwa, vitabu vyote vimeandikwa na binadamu duniani.
Mwamba umepiga mule mule yaani....Hata wale wanaofanya hypnotic techniques wanahakikisha mzu yupo kwenye low state of mind ndo hypnosis inafanikiwa.Hii mbinu inatumiwa na makanisa ya kilokole bila wao kujua.Mfano,mtu akiongea maneno ya kujirudiarudia (mfano,anasema asante yesu....)anaingia on trance state(low frequency).
Ndio maana basi wanasema mchawi ukimtisha ama kumwambia kuwa unajua analoga hawezi kukufanya loloteKnowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Waganga ulaya wapo mkuu hawapo kama walivyo waganga wa africa ila wapo wanatibu na kupiga ramli ambayo waafriika wenyewe hawaifikii.Ni wapi ulishawahi kumuona mchawi anapaa kwny ungo?
Wazungu nao zamani walikuwa wanaamini ushirikina kama wewe, lakini walikuja kuelimika na hadi leo huwezi kukuta mganga wa kienyeji Ulaya.
Niambie best, ni wapi umekutana na popobawa, au jini Maimuna?
......
Come On Bro ..
1.Ni Wapi Ulishawahi Kumuona Mchawi Anapaa Kwenye Ungo?
*Swali La Kipuuzi Kama Hili Haliwezi Kujibiwa Kwa kutumia Keyboard Ya Jamii Forum.
Ongeza Exposure Yako Kimaisha Kwa Kutembea Na Kuona Usiishie Jamii Forum,Insta Na Tik Tok Na Kumezeshwa Madesa Ya Darasani.
Kaa Mtaani Na Watu Waliokuzidi Maarifa,Umri Hadi Hekima.PATA ELIMU DUNIA.
Halafu ukija Jamii Forum Usiulize Upuuzi Na Usiitwe Mweupe.UNABOA MTOTO!
2.Wazungu nao zamani walikuwa wanaamini ushirikina kama wewe, lakini walikuja kuelimika na hadi leo huwezi kukuta mganga wa kienyeji Ulaya.
3.Niambie best, ni wapi umekutana na popobawa, au jini Maimuna?
Weupe wenyewe Kichwani Ndo huo Hap😵NGEZA Exposure na ukome kuitegemea Jamii Forum.
Kweli kabisa ndo maana inaitwa "Occult knowledge" yaani "Hidden knowledge"Its a mockery to give a mirror to the blind.Hii elimu ni ya juu sana ndugu ili uelewe lazima uwekeze muda wa kutosha kutafta hii elimu.
wewe kaa hukohuko maporiniHuu uzi unaeleweka vzur saana. Maana ushahid upo kwenye bibilia na pia ktk maisha ya kila siku. Kwa mfano kwanin wengi wanaopagawa na pepo na watu maskin au wenye shida shida flan,au utakuta wengi ni wanawake.
Kwanin nisije mjini mkuu???wewe kaa hukohuko maporini
usije mjini
Kwa kifupi kabisa ni kuwa ujanja Upo kwenye namna unavyojibu yanayokutokea maishaniWengi mmetuacha kwenye frequency. Neno frequency ni la kifizikia. Physics na mambo ya kiroho wapi na wapi?
Nataka kujifunza hii elimu ya low na high frequency. Nina wasiwasi nitatakiwa kwanza nianze na introduction ya vitu vingi vitakavyonipotezea muda kama mambo ya Nibiru.
Ego ni shida kubwa.Kwa kifupi kabisa ni kuwa ujanja Upo kwenye namna unavyojibu yanayokutokea maishani
Usijibu kila jambo, Usijibu chochote bila kufikiri kwanza, siyo Lazima kujibu kila jambo
Ni rahisi tu lakini ujuaji, kupenda kushinda kila ligi na kujiona (ego) ndiye adui yetu namba 1
Hakika!Ego ni shida kubwa.
Ego unaeza ishinda kwa kujilazimisha kua na upendo kamili(usio na masharti)Ego ni shida kubwa.