Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu kipo wazo kbs hapo ,bora angesema Global publisher maana cjaona shigongoHiyo naona inamilikiw na familia yake
Shida yako nini sasa au cha ajabu ni nini mkuu?
Huyo naye anajiita GT naye ,aseeHiyo naona inamilikiw na familia yake
Ndio nami nimemshangaa ,kitu kipo wazi kbs hapoHuoni kuwa ni familia moja hao
Ndio nami nimemshangaa ,kitu kipo wazi kbs hapo
Mara kibao anasema au wew hujawahi msikia? Mm yangu yapo sawa ndio maana napata mda wakupuyanga na huko kusaka ya wengneAliwahi kukwambia anachomiliki na asichomiliki? Unajua vitu vyote na asilimia ya anavyomiliki?
Kuna namna inakuathiri kutokana na umiliki wake huko EFM?
Mwisho kabisa, jitahidi kuweza kujiongeza na kuboresha mambo yako mkuu.
MaybeTusishangae sana labda hajavaa miwani
Usishangae Watanzania wengi hawajui biashara ya hisa. HATA DIAMOND SI MLIKI WA WASAFI ila ana hisaCEO Mark Zuckerberg wa Facebook ana 28% kwa hiyo katika dunia ya sasa hivi kawaida cha msingi hela inaingia.
Huoni familia iyo ya Ciza mzee!View attachment 804610 halafu kwanini kajiachia sana? Mbona jina la huyo dada na yeye moja kama limeboresha? Au ameweka tu kuonyesha wapo hisa?